Mawaziri tisa wa Kikwete ni hatari-Wanatishia uchumi wa nchi

Kweli Tanzania ni kichwa cha chizi sasa, hadi Nchimbi?

Hamko serious jamani, hawezi kuwa na yeye anataka, hilo nakataa

Yaani una mawazo kama mimi Mkuu, huyu jamaa naye eti anagombea Urais!!!! Ni jambo la kushangaza sana wanadhani Urais ni ulelemama hawamuoni Kikwete jinsi anavyovurunda na nchi ikizidi kwenda mrama. Katika Wizara mbali mbali alizowahi kupitia hakuwa na mafanikio yoyote yale kama Kikwete halafu anataka naye kuingia Ikulu!!! Mungu tunusuru nchi yetu.
 
Karunguyeye mbona anafikiria urais siku nyingi tu. Lakini kama alivyosema mchangiaji mmoja hili ni tusi kwa watanzania. Ni bora hata kutawaliwa na mbwa kuliko huyu jamaa
Mkuu those are the right words to describe that.

Huyu jamaa hapana kabisa.

Kwanza hatakiwi jela kweli huyu?

I remember something kuhusu Amina Chifupa (RIP)
 
Ipo siku tutasikia na Kibonde au Khadija Kopa nao wanataka urais wa TZ. Dhana nzima ya kuwa rais nchini kwetu nadhani imeshapotea kabisa sasa hivi, lakini tusilaumu nadhani wanaangalia mifano, mbona Ruksa aliweza au mbona Bwana 'Kucheka cheka' anaweza basi kila mtu anadhani anaweza.

This is serious kwa mustakabali wa nchi yetu, lazima watu wajue urais ni tofauti na uwaziri na ni tofauti na u-kaka mkuu wa shule jamani
 

Yaani una mawazo kama mimi Mkuu, huyu jamaa naye eti anagombea Urais!!!! Ni jambo la kushangaza sana wanadhani Urais ni ulelemama hawamuoni Kikwete jinsi anavyovurunda na nchi ikizidi kwenda mrama. Katika Wizara mbali mbali alizowahi kupitia hakuwa na mafanikio yoyote yale kama Kikwete halafu anataka naye kuingia Ikulu!!! Mungu tunusuru nchi yetu.
Hapa ndipo inabidi kuiombea Tanzania Mkuu. Hawa ndiyo wale wanaoitafuna Tz wanaowapenda, hata wale raia wa nje wafanyabiashara wakiona jina kama hili ndilo wanalitolea mapesa ya kampeni. Na walioitafuna nchi yaani mafisadi ndiyo haswa wanapenda wakiwepo vingozi dhaifu na wasioipenda nchi yetu maana wanajua hawezi kugeuka na kuanza kutekeleza yale ambayo wananchi wanategemea kutoka kwao.
Hapo ni kuomba Mungu ainusuru nchi yetu.
 
hawa wanaumwa na wako nje ya nchi. Tuwaombee kwa Mungu wapone haraka warejee kulijenga taifa letu

Hao 2najua wanaumwa na ni muda mrefu sasa, lakini kwa nini waendelee kuwa Mawaziri,.? Inabidi wateuliwe wengine waongoze hz wizara nyeti kwa mustakabarit wa uchumi wa nchi..
 
Angewataja basi,ama nianze?
Membe,Magufuli,Nchimbi,Mwakyembe,Mwandosya...Wengine wamalizie,nadhani pia alimaanisha kuna wanaowasapoti wengine.

BTW Lowassa mbona si waziri?

Ama na yeye anaangukia wapi?

Sita na Jk mwenyewe
 
Duh hivi ni kwamba Tanzania haina viongozi bora tukiacha waliopo madarakani ? Kama ni hivyo bora warudi Ben na EL maana utendaji wao tunaujua na mapungufu yao pia. Maana kama hadi Membe na Nchimbi wapo ni tabu kwa kweli.
 

Yaani una mawazo kama mimi Mkuu, huyu jamaa naye eti anagombea Urais!!!! Ni jambo la kushangaza sana wanadhani Urais ni ulelemama hawamuoni Kikwete jinsi anavyovurunda na nchi ikizidi kwenda mrama. Katika Wizara mbali mbali alizowahi kupitia hakuwa na mafanikio yoyote yale kama Kikwete halafu anataka naye kuingia Ikulu!!! Mungu tunusuru nchi yetu.

kumbuka jamaa alikuwa timu ya ushindi. hivyo kwa hilo anaweza amini kabisa
kama alishiriki katika timu hiyo basi hata yeye anaweza kushinda. sidhani kama anatofautisha
kufika magogoni na utendaji wa majukumu ya magogoni ;-(. dah!
 
Hili swali linaashiria mengi, Zito was a very good young politician and firm on National issues. Sahivi kaka unapoteza mwelekeo rafiki zako tunaweza kuwa tunakushauri ili upoteze mwelekeo na sie tu shine..watch out. Kitaa sahivi wameshaanza kupoteza mvuto na wewe kwa kushangaa hoja zako zinavyoishia hewani..mfano la mkulo umelianzishaa ukaumwa then ukapona bunge lilipo isha, umekaa kimya sasa umeanzisha move nyingine ya mawaziri kutofanya kazi na kuutaka urais na haujawataja...hauoni kama unajipoteza bro...!Elewa wanachi wanafuatilia nyendo zako maana hata urafiki na vijana wa CCM kitaaunatiliwa shaka... At the start of ur political carrier the ideology u had was so social related,now una urafiki na young politician ambao history yao na ambitions zao sio kwa maslahi kwa jamii..I advice u Mr.,tafuta move moja ya kuhusu maslahi ya wananchi ndio utokee nayo na ukomae hadi mwisho..hii ya kuibua mijadala kila siku bila kuwa na outcomes inakupotezea mvuto.

What was the theme of that meeting? Kidogo hata mm nimeshangaa kusikia mambo ya mawaziri wa serikali ya CCM yakisemwa na naibu katibu mkuu wa CHADEMA kwenye mkutano unaushusu demokrasia na siasa.

Well I like Zitto kwakweli kwani ndiye aliye toa matumaini kwa vijana wengi kuwa ukiamua inawezekana na kuua kabisa dhana ya kuwa mpaka uwe CCM ndiyo lazima ufanikiwe kisiasa kwa muda mfupi; lakini kuna saa huwa simwelewi elewi..Be focused my bro achana na mambo ya opportunism zitakushangaza na utapoteza kitu cha thamani kubwa ambacho kiko mbele yako.
 
Hapo kwenye rangi ya gamba cjakupata kabaisa!
The readers of a publication considered as a group.
TheFreeDictionary.com

The mass of a particular group of readers
Merriam-Webster.com

The people who read or are thought to read a particular book, newspaper, magazine, etc.:
Dictionary.com

The readers of a newspaper, magazine, or book regarded collectively:
OxfordDictionaries.com
Nilichomaanisha ni kwamba, kwa sababu wahariri wanatuandikia madudu, basi na sisi tunajaza madudu vichwani. Kwa hiyo readership nzima tunakuwa vichwa panzi. Hebu fungua habari za kichumi kwenye magazeti kama the NYT au WSJ, you learn something new all the time, wakiandika kitu technical lazima waki define, na wakikosea kesho yake kitu cha kwanza wanaanza na masahihisho.

Uchumi umeporomoka hadi kufikia asilimia 17%. Asilimia 17% ya uchumi ulivyokuwa wakati wa uhuru, au?
 
Ningetaka kuamini kuwa Zitto amenukuliwa vibaya. Haileti maana kabisa hii statement. Nitaeleza.

Mbio za Kikwete kusaka urais zilianza 1995 mara baada ya kuambiwa yeye bado. Kwa miaka 10 aliyokuwa waziri wa mambo ya nje Kikwete aliunda mtandao mkubwa na kuvunja vunja kabisa kabati la 'holy grail' la ccm. Si Kingunge, si shehe, si askofu, si balozi wa nyumba kumi aliyeachwa kwenye huo mtandao. Wale waliojaribu kuchuana naye walikiona cha moto. Na timu yake illikuwa na mawaziri, viongozi NEC, wana-CCM wa kawaida na hata watu ambao si wana- CCM.

Sasa kama Kikwete-waziri wa mambo ya nje (wakati huo) kwa kushirikiana na wenzake waliweza kujenga mtandao kwa miaka 10, lakini uchumi ukakuwa, mfumko wa bei ukapungua (20%+ 1995 to less than 5% 2005) iweje leo tuhusishe kudorora kwa uchumi na harakati za kusaka urais? Kwa maneno mengine kama Mkapa aliweza kusimamia vizuri uchumi (kuliko sasa) bila ya msaada wa NEC licha ya mbio za wanamtandao, iweje Kikwete ashindwe? Nani dhaifu? Kikwete au mawaziri wanasaka urais? Na je, Kikwete akifukuza mawaziri wote wanaosemekana wanasaka urais uchumi utaimarika?

Mimi nadhani Zitto amenukuliwa vibaya!
 
Back
Top Bottom