mwanamapinduko
Senior Member
- Jan 24, 2011
- 178
- 41
Takokuru ni tatizo huyo CEO wa taasisi hiyo amekuwa mwanasiasa badala ya kuwa mtendaji. Miaka ya nyuma ilikuwa ni utendaji tu sio bla bla kwenye vyombo vya habari. JK anatakiwa aifumue hiyo taasisi walete CEO mwingine anayejua maana ya investigation na afanyiwe interview na bunge kama wale jamaa waliokuwa wanataka ubunge wa Afrika mashariki.