Umeona eeeehh!
Happy new year
Shoprite mlimani city wanauza bei rahisi sana. Yale ya kona ya st peters huwa wanashikisha, siku ya pili tu yananyauka. Angalia namanga, kwenye mataa there is Dina Florist. Ubebe ubishi wa bei kama wa kilo moja hivi...
Many returns to you ! I'm always here
akafanye nini huko?
una akili fupi mno ila hujijui
De Novo long time bila kuonekana hapa
una akili fupi mno ila hujijui
Wapendwa wana MMU
Heri ya Mwaka mpya. Jamani naomba mnijuze hapa Dar Mauwa ya Rose naweza Nunua wapi nimpe Mzenji wangu siku ya kuzaliwa kwake wiki ijayo! Walau mwaka Huu nimsurprise!
Mch
Wapo Dar?
Haya mambo umeyaanza lini kamanda??
Na wewe umeshauvaa mkenge wa egoli egoli??
Mie nilidhani utarudi na bonge la jogoo kutoka kule ulikolia new year ili shem na wadau tupate supu???
Very disappointed mura!!
Babu DC!!
Grazie Menzi
DC, acha mchungaji aweke surprise mazee... yawezekana keshamaliza machejo yote sasa limebaki la egolioa
Acha tu kaka,
Enzi zetu kwanza hakukuwa na haya mambo...Ukimpenda mkeo basi siku hiyo unamrushia kitenge cha bei mbaya, kitambaa cha gauni + viatu vipya...
Mhhhh,
Huyu mchungaji sijui ame-mutate lini???
Babu DC!!
Acha tu kaka,
Enzi zetu kwanza hakukuwa na haya mambo...Ukimpenda mkeo basi siku hiyo unamrushia kitenge cha bei mbaya, kitambaa cha gauni + viatu vipya...
Mhhhh,
Huyu mchungaji sijui ame-mutate lini???
Babu DC!!
kaka siku hizi tena yanatumwa ofisini kukonga nyoyo nyoyo za mahasidi... wengine hadi wanajinunulia kabisaa!!! sasa we chelewa viserengeti boyz vianze kupeleke flowers na lunch boxes
utaishia kucheza second half tu mkuu... wacha mchungaji aji-update operating systems:wacko:
mwanamke wa kileo humdanganyii hivyo...lol!