Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,800
- 59,267
Yanapendezesha ofisi, sebule, chumba kwa siku mbili alafu yananyauka. Kama mtu anapenda maua mi nadhani ni bora awe na bustani, hamna haja ya kuchoma 10000 kwa maua ambayo siku tatu tu yanaleta harufu mbaya ndani.Naomba msaada wako swahiba..(ila msinicheke!!)
Hayo maua yanasaidia nini???
Babu DC!!