Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...Hivi, jino 'linajuaje' usiku umeingia, unataka kulala ndipo nalo linapoanza kuuma?
View attachment 2457
Hapalaliki!!!
View attachment 2457
Hapalaliki!!!
nafikiri linahisi kwamba all other muscles are relaxed na its zamu yake kusikika ... lingoe tu ... weka ya plastic kama ya mbele ... dont forget that otherwise tutakukimbia
Tatizo letu wengi tunasubiri mpaka meno yaume ndio twende kwa daktari inatakiwa kila miezi sita au ikishindikana hata mwaka mara 1 yakaangaliwe na vitobo vidogo vikionekana vinazibwa kabla havijawa mapango.Matatizo ya fizi au kasoro zingine pia zinaweza kuonekana na kutatuliwa mapema.
You should always find the time as bad dental health has recently been found to contribute to heart problems as the blood and bacteria enter you blood system.
...Kweli mchongoma ni ajabu lakini ndio ukweli niliwahi kuwa na jino bovu limetoboka mchana natwanga menu kama kawa lakini ikifika night mazee mnh!! unasikia linavuta...Kuna siku night kali nilitoa chozi mbele ya ma-wife kwa maumivu. asubuhi mwenyewe kiguu na njia muhimbili nikamaliza udhia kwa kung'oa kabisa maana nilishauriwa nizibe nikaona mnh!!!...Hivi, jino 'linajuaje' usiku umeingia, unataka kulala ndipo nalo linapoanza kuuma?
View attachment 2457
Hapalaliki!!!
...Kweli mchongoma ni ajabu lakini ndio ukweli niliwahi kuwa na jino bovu limetoboka mchana natwanga menu kama kawa lakini ikifika night mazee mnh!! unasikia linavuta...Kuna siku night kali nilitoa chozi mbele ya ma-wife kwa maumivu. asubuhi mwenyewe kiguu na njia muhimbili nikamaliza udhia kwa kung'oa kabisa maana nilishauriwa nizibe nikaona mnh!!!
...Dentures? aaah, yaani na umri huu wakati wa kulala 'nayatoa' meno bandia naweka kwenye gilasi? no way, nitaendelea kutafuna karafuu mpaka kieleweke.
Subiri tu litakapo omba urafiki na ujirani mwema na meno mengine ndo utajuwa nini maana ya kwenda kwa daktari. Otherwise endelea tu na kula vya sukari na kutosafisha meno vizuri. Nakutakia usiku mzuri wenye maumivu. Mpaka utapoamua kwenda kulishughulikia kwa bwana mganga wa meno.
Xpaster ...kwani unadhani sababu hizo tu pekee? meno yana vichochoro utadhani njia za panya. Hata baada ya matumizi ya Dental floss na Listerines, kuna dakitari aliyejaribu kuning'oa molar likaishia kipande kuvunjikia ndani... meno yenyewe haya ya kibantu, tena baada ya kunyonya titi la mama miaka miwili kamili simlaumu sana dakitari.
Anyway, thanks kwa dua yako, maumivu ndio yanapiga hodi hapa,
Kumekucha!
Pole kaka na mumivu...Ila meno ya kibantu yamekuzwa natural kaka, si kama meno ya watoto wa chupa na artificial milk... u must be proud of ur self...!
...Yes indeed!
hatukubahatika kuwekewa 'braces' huko udogoni kuyaunganisha meno yanayokimbiana kinywani. i'm just back from my dentist.
Guess what!, juu ya kuyagonga gonga yote, sikuhisi maumivu, hivyo kutokujua lipi linalouma!!! strange! ...The infection might be in the gum.
anyway, naanza dose ya Amoxicillin.
Duh! Pole sana mkuu na ongera kwa kuwa na meno imara yasiyopata kutu...! Anyway ila kuwa makini usije ambiwa kuwa fidhi zako hazifai na zinatakiwa kuondolewa na kubakishwa meno bila ufidhi...! Maana sometime madentisti nao mmh!
Nakutakia uponaji wa haraka ndugu yangu...! Yaani Geti Weli Suni. Si nemethema kiingrishi kuonesha mthisitizo?