Maumivu kwa wenye magari: Utaratibu mpya wa kulipia road licence, Gharama za fire zaongezwa

Huyu abdulhalim Si bure atakuwa Ni shoga tu,mwenye akili nzuri hawezi kuwa defensive hivi na kujibu kila andiko la akili toka kwa jf wakomavu.shenzi type mwenyewe na upuuzi fanyia kwako na kwa ushauri tu usionyeshe ujinga wako hadharani
hahaa , sasa ushoga unaingiaje hapa? unajua kitaalamu kuna kitu kinaitwa self-reflection, yaani mtu anajiongelea yeye mwenyewe bila ya yeye kujijua..tuki-deduce ktk mfululizo huo, nadhani ni dhahiri wewe ndio shoga bin choko.maji..yaani wale mashoga ambao wakiona mamende wanaanza kunyenvuka tigoni..

pole zako kwa kusukumiziwa linyama ..
 
Mpwa twende tukale mishikaki ya nguruwe pori ili upunguze hasira na majibu ya kifedhuli!
hasira niitoe wapi? na kwa lipi? we sema tu mishkaki hiyo yapatikana wapi mie ntakulipia..provided jasho la mtu laweza liwa..
 
Tatizo lako ni umaskini hadi akilini. Mbaya zaidi ni kuridhika kuwa utakuwa maskini daima dumu. linalojadiliwa ni jambo la msingi kwa watz wote, maana hata wewe unayebeza litakuongezea nauli...wenye daladala wakilipishwa zaidi impact itakuja kwako.
umaskini upi? mie sijalalamika maana mwezi ujao naenda kukata yangu, katu sitoleta longolongo na utetezi mrefu usio na kichwa wala miguu maana sijalazimishwa kumiliki gari. nauli kupanda ni kitu cha kawaida provided kuna factors zinazingatiwa.
 
ujumbe ni kwamba kama hela yako haijatimia usinunue gari, otherwise unatoa wrong impression kuwa unazo kumbe kabwela tu. duniani kote wene kipato kikubwa ndio wanaolipa kodi kubwa..siitetei serikali lakini ukweli wa mambo ndio huo.

poor thinking,ukiwa na gari ndiyo kuwa na kipato kikubwa,yale yale ya ukiona foleni kubwa ya magari ndiyo kukua kwa kiwango cha maisha bora kwa watz. sio kodi ni ADHABU YA KUMILKI GARI TZ.
 
Mmh hapa tunakoelekea kutakuwa na gap kubwa kati ya wenye nayo na tusiokuwa nacho. Mbaya zaidi tusiokuwa nacho wengi ni wasomi wazuri

Kama hauna kitu usijihesabu msomi hata kama una PhD, na kama wewe una pesa na haujasoma basi wewe ni l.o.f.a pia...
 
hiyo elfu 30 itatumika kwa matumizi gani???? Kulipia safari za viongozi au kuchangia wao kutibiwa India????

Serikali dhaifu imeshindwa kubuni vyanzo vya mapato hovyo kbs
 
It is a MIRACLE.!.jamaa leo kwa mara ya kwanza ameona fault ktk utawala wa Kikwete!
Labda niwe devil's advocate hapa, naona kiza ni kikubwa sana hapa, either kwa kutokujua au makusudi:
  • Ina uhusiano moja kwa moja na majanga ya moto, ndo maana inaitwa 'FIRE' sticker.
  • Wengine wanaweka fire-extinguisher isiofanya kazi kama mdoli, hiyo shurti ikaguliwe na wataalamu kuwa iko sawa na haijaisha
  • Kodi inalipwa benki itakuaje mradi wa wakubwa? wacha dhana potofu.
  • Idadi ya magari sio kazi YAKO, we lipa tu kinachokuhusu!
  • Kupitia kulipwa kwa kodi hiyo ndio kutakowezesha kuihuisha hiyo fire department, serikali imefanya vema kwa hili!
  • Yes, lipa hiyo kodi kwanza ndio uanze kulalamika
  • Magari mengi ni vimeo coz ni used, umuhimu wa fire extinguishers can never be over-emphasized!
  • Wananchi wengine wanalipia kupitia makato ya kodi zao mbalimbali
  • Dhana ni kitu kizuri kikiwa na ushahidi, kama unao ulete hapa!
  • Kama wameleta ni jambo jema, ili kila mwenye gari azipate kwa wakati!
  • Land cruiser ni yako kwa matumizi yako, hujashikiwa binduki kichwani kwamba lazima uimiliki!

huwezi kuelewa kama huna gari....
sticker haizimi moto...
unaenda pale samora unalipa hiyo sticker nao hawauzi hiyo fire extinguisher wana kupa kikaratasi cha kubandika gari hawataki kuiona
ukisafiri mikoani wapo trafic wanakusimamisha na na pembeni kuna jamaa wana mitungi ya fire wanauza
hata ukiwa nao wana kulaimisha unune yao kisa ati ule haufai !
usitetee jambo la uonevu
kodi hutozwa kwenye income
sio kila mahala inatozwa kodi
na sio sahihi wenye magari kulipa gharama za mamlaka ya fire
moto unatokea zaidi kwenye majumba, viwanda kuliko kwenye magari
inachotakiwa ni wenye magari waweke vizimio sio kuwakamua
gari sio anasa ndugu yangu
nikuulize kitu kimoja tu...kama kweli hawa watu makini katika kukusanya kodi kwa nini kwenye madini wanakua kama matahira vile(ashakum sio matusi)
  • nchi ina madini kibao anakuja mtu anapewa achimbe achukue yote
  • fedha zote zitokanazo na hayo madini zinakaa njee ya nchi
  • fedha zinaletwa hapa ni kwa ajili ya mishahara na uendeshaji
  • gold yote inawekwa kwenye hazina yao hayo makampuni yanayopewa ardhi kuchimba
  • akiba ya gold ya tanzania hai ongezeki kutokana uchimbaji huu
  • na juu ya hayo equipments zote za miradi hii hailipiwi kodi
  • na kubwa zaidi MAFUTA yanayotumika katika mitambo yao na kuzalisha umeme nao hawalipi kodi

hawa hawalipi kodi....hawa wapo sawa..ila watanzania wanyonge tunayalipia ushuru magari yetu yanapoingia , tunalipa road licence kila mwaka , vijibiashara vyetu tunavilipa kodi lakini kama haitoshi tunalipishwa kodi ya karatasi ya fire kuzidi kukamuliwa

serikali inayojali inaweka wananchi kwanza sio wageni kwa jina la investors

waambie wakajifunze kwa Chavez wa Venezuela, wajifunze Brazil, Peru , India na hata Afrika Kusini...uwaulize kama wanatoa rasilimali zao kwa bure kama hivi

hili si la Kikwete..ni la mfumo mzima mfumo wa ubinafsi...unaojali masklahi binafsi





/
 
Wana JF, Leo nimestuka na hii kodi mpya kwenye magari. Mbona sikusikia kama chanzo kipya cha mapato ya serikali kwenye bajeti ya mwaka huu?

Leo rafiki yangu kaenda TRA kulipia road licence katika kituo kimoja cha TRA. Alipofika kaambiwa anatakiwa alipie na gharama za ukaguzi wa mtungi wa fire extinguisher kwa gari yenye cc 1500 hadi 2500 ni elfu thelathini (30,000/=). Na utaratibu huu mpya umeanza tarehe 23/07/2012.

Katika utaratibu huo mtu unatakiwa kulipia gharama za ukaguzi TRA halafu ukimaliza kulipa unaenda na risiti na mtungi wako Fire. Ukifika fire unakaguliwa ndipo unapewa stika.

Ninajiuliza, je hiki chanzo kipya cha mapato kimekuja baada ya bajeti au kilikuwepo ila kilijificha kama kile kipengele cha SSRA?
Njaare, Subiri usum,bufu mwingine katika hili. Ukishalipia huo mtungi, ukienda nao Fire utaambiwa haufai, katafute mwingine. na kabla hawajaukagua inabidi ukaulipie TRA... biashara kubwa hii
 
Last edited by a moderator:
Jamani ni vizuri kujibu vizuri kwani hata mimi nilikuwa suprised, Ijumaa tarehe 20 July,2012 nilikwenda TRA samora lipia license renewe kwa pikipiki nikalipa elfu50 nikaambiwa sasa uraribu umebadilika unapata license kesho yake sio the same day kama zamani. Nikarudi J3 ambayo ni tarehe 23, ndio nikatuatana na hiyo ya fire na walisema nioneze elfu 10 kwa ajili ya sticker ya fire, kweli kila mtu aliyekuwepo siku hiyo alikasirika kwa zima moto. Ikabidi nifanye hivyo pamoja na watu wote ila inaudhi, so the problem sio kulipa elfu 10 ila sioni wanafanyia nini je huo mtungi wa fire kwenye pikipiki utakaa wapi, then sikuona chachote zaidi ya ile kadi kuandikwa licence renew and fire. kwa kweli sio nzuri
 
ujumbe ni kwamba kama hela yako haijatimia usinunue gari, otherwise unatoa wrong impression kuwa unazo kumbe kabwela tu. duniani kote wene kipato kikubwa ndio wanaolipa kodi kubwa..siitetei serikali lakini ukweli wa mambo ndio huo.

Jibu la kijinga au la wivu. HII KUMBUKA ITAKWENDA HADI KWENYE PUBLIC TRANSPORT NA ITAPELEKEA KUPANDA KWA GHARAMA YA UENDESHAJI NA MATOKEO YAKE NI NAULI KUPANDA PIA ITAONGEZ GHARAMA YA USAFIRISHAJI INGENERAL. NANI ANAUMIA HAPA KAMA SI WATANZANIA WOTE REGADLESS UNAGARI AU HUNA?
TRY TO BE SMART
 
Hii serikali itaendelea kunyonya wanancì wake mpaka lini? Wanashindwa kuweka mipango mizuri katika wawekezaji then wanabana wananchi wake duh!
 
Mmh hapa tunakoelekea kutakuwa na gap kubwa kati ya wenye nayo na tusiokuwa nacho. Mbaya zaidi tusiokuwa nacho wengi ni wasomi wazuri
Masomi wazuri TZ! LoL. Hakuna ubunifu wala nini, kazi kutegemea ajira za JK au kukimbilia kwenye siasa. Kwa staili hii itaendelea kuwa makapuku.
 
Wabongo kwa kulalamika du! Hivi unanunuaje gari landcruiser halafu unashindwa kulipa Tshs. 30,000/= tu kwa mwaka? Ni sawa na kununua simu ya milioni mbili halafu kila kukicha unaomba salio ( vocha ).
 
Back
Top Bottom