Wana JF, Leo nimestuka na hii kodi mpya kwenye magari. Mbona sikusikia kama chanzo kipya cha mapato ya serikali kwenye bajeti ya mwaka huu?
Leo rafiki yangu kaenda TRA kulipia road licence katika kituo kimoja cha TRA. Alipofika kaambiwa anatakiwa alipie na gharama za ukaguzi wa mtungi wa fire extinguisher kwa gari yenye cc 1500 hadi 2500 ni elfu thelathini (30,000/=). Na utaratibu huu mpya umeanza tarehe 23/07/2012.
Katika utaratibu huo mtu unatakiwa kulipia gharama za ukaguzi TRA halafu ukimaliza kulipa unaenda na risiti na mtungi wako Fire. Ukifika fire unakaguliwa ndipo unapewa stika.
Ninajiuliza, je hiki chanzo kipya cha mapato kimekuja baada ya bajeti au kilikuwepo ila kilijificha kama kile kipengele cha SSRA?
Leo rafiki yangu kaenda TRA kulipia road licence katika kituo kimoja cha TRA. Alipofika kaambiwa anatakiwa alipie na gharama za ukaguzi wa mtungi wa fire extinguisher kwa gari yenye cc 1500 hadi 2500 ni elfu thelathini (30,000/=). Na utaratibu huu mpya umeanza tarehe 23/07/2012.
Katika utaratibu huo mtu unatakiwa kulipia gharama za ukaguzi TRA halafu ukimaliza kulipa unaenda na risiti na mtungi wako Fire. Ukifika fire unakaguliwa ndipo unapewa stika.
Ninajiuliza, je hiki chanzo kipya cha mapato kimekuja baada ya bajeti au kilikuwepo ila kilijificha kama kile kipengele cha SSRA?