Maujanja ya Computer haya(Must read)-No 4:

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,104
6,035
LEO Jumapili hii siwezi kuwaacha hivihivi, yaani nikiangalia laptop yangu ya apple hii, vidole vinawasha.
Niaje!! Tuendelee na maujanja namba 4 yanayofanya maisha ya techno uyaone rahisi kiaina. Tusipoteze muda, kwa wale wasiokuwepo before, kuna link kwa chini yale Maujanja namba 1,2 na 3. C'mon!!


29eoozs.jpg




1. Kupiga(call) (bure) toka kwenye computer kwenda kwa simu.

1zn7k12.jpg


Hii niliifanya sana wakati ule nasoma. Nilikuwa nafanya international call nyingi sana for free. Ukichotakiwa ni kuwa na new email tu na unapata dakika za bure zaidi ya 20 kutegemea na nchi gani unapiga. Kwahiyo nilikuwa kila siku nikitaka kupiga simu home nafungua email mpya. Hiyo ndiyo gharama yake. Nikawa na email zaidi ya 50.Hahaa!
Sasa hii ilikuwa natumia kitu inaitwa Global 7. Baadae kukawa na gharama ingawa ni ndogo sana, nikaacha. So gonga hapa utaona mwenyewe. Global 7.

Hii njia ya pili hembu jaribu uone(mi wala sijajaribu). Twende!
-Hapa install Yahoo Messanger au Skype,weka ID yako na PASSWORD
-Halafu configure hiyo microfone na headset yako
-Sasa sehemu ya dial we andika hizi namba +18003733411, halafu piga enter
-Hapo utasikia sauti ya operator ikikusabahi na matangazo. Badae hiyo sauti itakuuliza kupiga free call
-Kwahiyo sikiliza mpaka mwishoni anaposema 'Free call'. Yaani "Free 411 service".
-Ukisia hiyo sauti USIBONYEZE KITU CHOCHOTE KWENYE KEYBOARD YAKO. Please dont. Badala yake wewe sema kwa sauti kubwa "Free Call" kwenye mic yako uliyounganisha kwa computer.
-Sasa hapo hiyo sauti itakuwa detected na system zao huko na badae utasikia matangazo ya hao free call sponsors na hapa narudia tena USIBONYEZE KITU CHOCHOTE KWENYE KEYBOARD.
-Subiria mpaka usikie a Beep,Badae utasikia sauti hii “Please dial the phone number country code first, don’t forget to dial 1 for north America”...halafu kutatokea sauti ya Beep(kengele ngeeee).
-Sasa baada ya kusikia hiyo message hapo ndipo uandike namba yako ya simu kwa keyboard ukianzia country code(+255... kwa tanzania).
-Hapo simu yako itakuwa connected kwa zaidi ya dakika 7 bureeee!!
-Ikikata rudia process zote na enjoy
Kushnyeh!!


2. Kufanya computer yako ijizime automatically.

16kcnyh.gif



Hapa kwa wale watu walio busy na mambo mengine, au unadowload kitu labda inakuambia bado dk 15 download iishe, so huwezi kusubiria dk zote hizo ndo uzime computer, unaset tu labda izime baada ya dk 20, then unaondoka zako, dk hizo zikifika compyuta inazima yenyewe
Kumbuka hapa huitaji software yoyote. Kivipi, twende!!
-Right click katika desktop yako then chagua new shortcut
-Katika lile box linalosema “Type the location of the shortcut” we andika “shutdown -s -t 3600”..usiweke quote.
-Hapo 3600 ni sekunde=60 dakika= saa 1. Hizi value unaweza kubalisha ukaweka muda unaotaka
-Unaweza tengeneza multiple shortcut kwa 30dk, 1hr, 2hr...nk. Kama box lipo empy basi andika interms of seconds(like 120sec ni dk 2..etc)
-Andika jina kwa shortcut yako.

NB
. Unaweza kuchange hiyo icon yako kwa right click then =>properities=>change icon=>browse
-Ukitaka ifanye kazi double click hiyo icon yako uliyotengeneza. Kushney.
Ukitaka kuondoa hiyo huduma(cancel)...rudia hiyo process lakini sehemu ya kuandika andika hivi shutdown -a
Kushney!!


3. Kuongeza maspeed ya computer au RAM yako.

Computer ikiwa slow au RAM ndogo na huwezi kuinstall game au kufanya mambo mengine, fuatana nami hapa.
-Right click hiyo My Computer kwenye desktop
- Properties
- Advanced
- Performance - Settings
- Advanced
- Virtual Memory - Change
- Hapo initial value ziache kama zilivyo ila hapo kwenye maximum size we andika mara 2 ya initial value(double it).
- Restart mashine yako. Your done!!
Hapo ina-improve sana system yako na unaweza ukaplay zile game zinazohitaji RAM kubwa pia.
Kushney.

Link zote zilizopita gonga hapa

Aag kwa leo tuishie hapo
Jumapili njema!!


2q1iefq.gif

2i9m911.jpg

jidhjp.gif
 
LEO Jumapili hii siwezi kuwaacha hivihivi, yaani nikiangalia laptop yangu ya apple hii, vidole vinawasha.
Niaje!! Tuendelee na maujanja namba 4 yanayofanya maisha ya techno uyaone rahisi kiaina. Tusipoteze muda, kwa wale wasiokuwepo before, kuna link kwa chini yale Maujanja namba 1,2 na 3. C'mon!!


29eoozs.jpg




1. Kupiga(call) (bure) toka kwenye computer kwenda kwa simu.

1zn7k12.jpg


Hii niliifanya sana wakati ule nasoma. Nilikuwa nafanya international call nyingi sana for free. Ukichotakiwa ni kuwa na new email tu na unapata dakika za bure zaidi ya 20 kutegemea na nchi gani unapiga. Kwahiyo nilikuwa kila siku nikitaka kupiga simu home nafungua email mpya. Hiyo ndiyo gharama yake. Nikawa na email zaidi ya 50.Hahaa!
Sasa hii ilikuwa natumia kitu inaitwa Global 7. Baadae kukawa na gharama ingawa ni ndogo sana, nikaacha. So gonga hapa utaona mwenyewe. Global 7.

Hii njia ya pili hembu jaribu uone(mi wala sijajaribu). Twende!
-Hapa install Yahoo Messanger au Skype,weka ID yako na PASSWORD
-Halafu configure hiyo microfone na headset yako
-Sasa sehemu ya dial we andika hizi namba +18003733411, halafu piga enter
-Hapo utasikia sauti ya operator ikikusabahi na matangazo. Badae hiyo sauti itakuuliza kupiga free call
-Kwahiyo sikiliza mpaka mwishoni anaposema 'Free call'. Yaani "Free 411 service".
-Ukisia hiyo sauti USIBONYEZE KITU CHOCHOTE KWENYE KEYBOARD YAKO. Please dont. Badala yake wewe sema kwa sauti kubwa "Free Call" kwenye mic yako uliyounganisha kwa computer.
-Sasa hapo hiyo sauti itakuwa detected na system zao huko na badae utasikia matangazo ya hao free call sponsors na hapa narudia tena USIBONYEZE KITU CHOCHOTE KWENYE KEYBOARD.
-Subiria mpaka usikie a Beep,Badae utasikia sauti hii "Please dial the phone number country code first, don't forget to dial 1 for north America"...halafu kutatokea sauti ya Beep(kengele ngeeee).
-Sasa baada ya kusikia hiyo message hapo ndipo uandike namba yako ya simu kwa keyboard ukianzia country code(+255... kwa tanzania).
-Hapo simu yako itakuwa connected kwa zaidi ya dakika 7 bureeee!!
-Ikikata rudia process zote na enjoy
Kushnyeh!!


2. Kufanya computer yako ijizime automatically.

16kcnyh.gif



Hapa kwa wale watu walio busy na mambo mengine, au unadowload kitu labda inakuambia bado dk 15 download iishe, so huwezi kusubiria dk zote hizo ndo uzime computer, unaset tu labda izime baada ya dk 20, then unaondoka zako, dk hizo zikifika compyuta inazima yenyewe
Kumbuka hapa huitaji software yoyote. Kivipi, twende!!
-Right click katika desktop yako then chagua new shortcut
-Katika lile box linalosema "Type the location of the shortcut" we andika "shutdown -s -t 3600"..usiweke quote.
-Hapo 3600 ni sekunde=60 dakika= saa 1. Hizi value unaweza kubalisha ukaweka muda unaotaka
-Unaweza tengeneza multiple shortcut kwa 30dk, 1hr, 2hr...nk. Kama box lipo empy basi andika interms of seconds(like 120sec ni dk 2..etc)
-Andika jina kwa shortcut yako.

NB
. Unaweza kuchange hiyo icon yako kwa right click then =>properities=>change icon=>browse
-Ukitaka ifanye kazi double click hiyo icon yako uliyotengeneza. Kushney.
Ukitaka kuondoa hiyo huduma(cancel)...rudia hiyo process lakini sehemu ya kuandika andika hivi shutdown -a
Kushney!!


3. Kuongeza maspeed ya computer au RAM yako.

Computer ikiwa slow au RAM ndogo na huwezi kuinstall game au kufanya mambo mengine, fuatana nami hapa.
-Right click hiyo My Computer kwenye desktop
- Properties
- Advanced
- Performance - Settings
- Advanced
- Virtual Memory - Change
- Hapo initial value ziache kama zilivyo ila hapo kwenye maximum size we andika mara 2 ya initial value(double it).
- Restart mashine yako. Your done!!
Hapo ina-improve sana system yako na unaweza ukaplay zile game zinazohitaji RAM kubwa pia.
Kushney.

Link zote zilizopita gonga hapa

Aag kwa leo tuishie hapo
Jumapili njema!!


2q1iefq.gif

2i9m911.jpg

jidhjp.gif
mkuu umenifurahisha umeweka APPLE Macintosh? kwenye nyuma ya Laptop yako? hiyo ndio mimi niapenda APPLE Macintosh ndio ugonjwa wangu , hahahahahahh Mzee wa Majanja huyoooooooooo Mwaga Vitu vyako nakupa hongera .
 
mkuu umenifurahisha umeweka APPLE Macintosh? kwenye nyuma ya Laptop yako? hiyo ndio mimi niapenda APPLE Macintosh ndio ugonjwa wangu , hahahahahahh Mzee wa Majanja huyoooooooooo Mwaga Vitu vyako nakupa hongera .

Pamoja, ujue Mac bana ndo raha yake...ficha nembo weka tunda!!
 
wapi utapata elimu kama hii zaidi ya hapa JF big up memba woote wa JF kuna vichwa humu!!
 
Kamanda kuanzia leo i will be your favourite member b'coz am new in ITs field n now am studin BSC ICTM at Mzumbe n i wish 2know those stuff keep it up bradah............?????
 
sizinga, kwangu nilitaka kuongeza ukubwa wa RAM nikakuta kwny max ishakuwa doubled. Je kuna njia nyengine?
 
Kamanda kuanzia leo i will be your favourite member b'coz am new in ITs field n now am studin BSC ICTM at Mzumbe n i wish 2know those stuff keep it up bradah............?????

Uko mwaka wa ngapi boy?
 
Back
Top Bottom