Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,444
jamani, sasa sijui hawa CCM wanataka kampeni zifanyikeje. Kampeni ya uchaguzi maana yake ni kwa mgombea kunajinadi ubora wake kwa wapiga kura na vile vile kuwaonyesha wapiga kura udhaifu wa mpinzani wake, ndivyo ilivyo duniani kote. Udhaifu mkubwa wa CCM ni rushwa na kuongoza nchi vibaya; sasa utawaonyeshaje wanachi udhaifu huo iwapo kufanya hivyo itatafsiriwa kuwa "siyo lugha ya kistaarabu"?
Angalia kampeini za Obama zilivyokuwa
Angalia kampeini za Obama zilivyokuwa
Last edited by a moderator: