Edwin Mtei
Senior Member
- Dec 13, 2008
- 181
- 342
Nakubaliana na Mhe. Kinana kwamba Watanzania wengi si mabwege any more. Labda waliobakia mabwege ni wale wanaodhani sisi Watanzania hatujui kwamba CCM ikiongozwa na wale waliotajwa na Slaa pale Mwembe Yanga mwaka 2007 na waliotajwa tena na Mabere Marando juzi, walikwapua fedha za EPA na kuzitumia kwa Uchaguzi Mkuu wa 2005.
Nikiwa nimebahatika kuwa Muasisi wa hiki chama, na Mwenyekiti Taifa wa kwanza, natamka kwamba Jukumu kuu la CHADEMA na Mgombea wetu wa kiti cha u-Rais sasa ni kuelimisha umma wote juu ya ukweli wa UFISADI huu na kuwapa ujasiri wananchi wawakatae wale wanaodhani sisi ni mabwege.
HATUDANGANYIKI!!!!!!!!!!!!
Nikiwa nimebahatika kuwa Muasisi wa hiki chama, na Mwenyekiti Taifa wa kwanza, natamka kwamba Jukumu kuu la CHADEMA na Mgombea wetu wa kiti cha u-Rais sasa ni kuelimisha umma wote juu ya ukweli wa UFISADI huu na kuwapa ujasiri wananchi wawakatae wale wanaodhani sisi ni mabwege.
HATUDANGANYIKI!!!!!!!!!!!!