Matumizi ya namba badala ya majina yawakwaza wazazi/walezi - matokeo kidato cha nne

dah jamani matokeo ya mwaka huu ni mabaya eh eh eh...............kwa style hii taifa linaangamia
[h=5]S0204 JANGWANI SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 4 DIV-II = 28 DIV-III = 54 DIV-IV = 101 FLD = 105[/h]
 
shida ni kwamba madogo siku hizi usanii mwingi akiona kimenuka anakupa mnamba wa mtu mwingi, bora majina bana kitu gani kwan, hii wizara inashindwa kuwa na msimamo..
 
shida ni kwamba madogo siku hizi usanii mwingi akiona kimenuka anakupa mnamba wa mtu mwingi, bora majina bana kitu gani kwan, hii wizara inashindwa kuwa na msimamo..

Wizara ya Mulugo
Wizara isiyo na Mitaala ya elimu
Wizara ya elimu isiyomjali kabisa mwalimu
Wizara ya elimu isiyofanya ukaguzi mashuleni
Wizara ya elimu inayofanya kazi kisiasa badala ya ki taaluma
Serikali ya awamu ya nne imetufikisha hapa na haya ndio matunda
 
Hapa ishu sio kubadili mifumo. Cha kujiuliza huku kubadili mara leo namba mara mwaka huu majina wanafuata kigezo gani? Nadhani ndiyo maana hata baadhi ya watu wanahoji mitaala inayotumika shuleni. Kama mfumo ni namba basi uwe huo ili wazazi wajue kuwa matokeo yakitoka huwa ni namba kwa kufanya hivyo hata mzazi anaweza kuwasiliana na shule husika au kupitia kwa mwanae kufahamu namba yake. Mfano mimi kwa sasa niko nje ya nchi nilipoona matokeo ilibidi sasa nianze upya kuulizia namba maana hata walipofanya mitihani sikuwepo na hata huku kutumia namba sikuwaza maana last year haikuwa hivyo. Na huu mtindo wa 20 bora badala ya 10 bora umeanza lini? Au sababu hizi shule zetu za Mtakatifu kata zisingekuwemo hata moja?
 
What the matter most is how to know well your youngsters than blaming!!!... it never certain simply because a wise parent or guardians tries to seek general and continuous assessment of his/her kids!!!!
HUJUI HATA NAMBA YA MTIHANI YA MWANAO HALAFU WAPIGA KELELE WAKATI UTAWALA UPO SHULENI........ hahahahhahahahah!!! We mzazi ndo unamkwaza mtoto sio mtoto kwa mzazi (saadmad, BACD-2011/2014:rockon:)
 
Baada ya baraza la mitihani kuamua kutoa matoke ya mitihani kwa kutumia namba badala ya majina wazazi wanapata taabu kupata matokeo toka wale watoto watukutu




Nionavyo mimi haki yao watahiniwa matokeo kuwa siri yao ila ni wajibu wao pia kuwa wakweli kwa wazazi na walezi wao
Yakitumika majina waislamu huwa wanalalamika... acha ibaki hivyo hivyo
 
Mimi nadhani ni yale matokeo ya mtoto wa mkuu mwana nini sijui ile mwaka jana, maana kuona jina tu mh jf pakawa hapatoshi!
Thats the reason behind.Lazima wakumbuke kuwa wazazi we2 watalaghaiwa kwa kupewa matokeo feki na vijana wa digital.
 
Yeah, ni kwa ajili ya kuwaridhisha wazee wa Ndalichako, ila bahati mbaya shule zao zinajulikana na zipo kwenye tano bora kwa kufeli!
 
dah jamani matokeo ya mwaka huu ni mabaya eh eh eh...............kwa style hii taifa linaangamia
S0204 JANGWANI SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 4 DIV-II = 28 DIV-III = 54 DIV-IV = 101 FLD = 105
Hii ni Jangwani niijuayo au mpya ya kata?
 
Back
Top Bottom