Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,754
Wanabodi salaam
Watoto wa darasa la nne wamefanya mitihani yao hapo Oktoba na sasa wazazi na walezi wanajiandaa kwa ngwe ya darasa la tano.
Lakini wanawezaje kufanya maandalizi bila kufahamu matokeo ya vijana wao?
Serikali izingatie kutoa matokeo kwa wakati tafadhali
Watoto wa darasa la nne wamefanya mitihani yao hapo Oktoba na sasa wazazi na walezi wanajiandaa kwa ngwe ya darasa la tano.
Lakini wanawezaje kufanya maandalizi bila kufahamu matokeo ya vijana wao?
Serikali izingatie kutoa matokeo kwa wakati tafadhali