Tofauti ni kwamba "Dr" ina "r" mwisho na "Dk" ina "k" hapo mwisho. Umeona eeeeh...hivi Dr na Dk kuna utofauti gani?
Tofauti ni kwamba "Dr" ina "r" mwisho na "Dk" ina "k" hapo mwisho. Umeona eeeeh...hivi Dr na Dk kuna utofauti gani?
Nakerwa na viongozi na wanasiasa hasa hao wanaotumia initial za "Dr" kwenye majina yao wakati rules haziruhusu.
Nakumbuka TCU iliwahi pia kuweka sawa hili kuhusu matumizi ya hii initial na kusisitiza kama una Degree ya Heshima ya Udaktari basi hupaswi kutumia hii initial ya Dr.
Lakini cha kushangaza aidha wanaitwa na wafuasi wao au wanaojipendekeza au wao wenyewe, lakini wahusika wanakaa kimya tu na kuacha majina yao kutumika hata kwenye vymbo nyeti kama bunge.
Nakerwa na jambo hili linaonyesha dhahiri wanasiasa wetu wasivyo makini na kupenda kusifiwa na kukumbatiwa kwa msifa ya bandia.
Kakamueni PHD tujue kweli na nyinyi ni miamba na mmnazo za kihalali na za kweli sio za kununua kama tulivyoona kwa watu maarufu kama wafanya biashara na viongozi wa dini.
Nimeshawahi kusikia Dr. Museveni kwenye media za Uganda.
Sijawahi kucheka kama leo........eti ka JCD kake ka kusomea misa .teh-tehe tehe. Wanasiasa wa Tanzania kwa kupenda sifa! hivi mrema anajua neno "PhD" lina maana gani?Hata Slaa na kale ka JCD kake ka kusoma misa, hapaswi kujiita Dr!
Wakati nasomea PhD yangu nilikwenda nyumbani kusalimu. Baba yangu akaniambia kuwa kuna mama mmoja anataka kuniona siku nyingi. Alipokuja huyo mama akaanza kunieleza matatizo yake mengi ya kiafya. Ikabidi nimueleze kuwa mimi sio daktari wa kutibu magonjwa bali nasomea udaktari wa filosofia. Nilivyomuona alionekana kuwa hakunielewa vizuri. Vivo hivyo na hao wanaopenda kutumia Dr. kila mahali hawaelewi vizuri maana ya PhD.
Mwikimbi Obama hajawahi kuwa na PhDobama ana phd lakini hatumii DK, raila odinga , kibaki wana phd za honoraria nyingi tu, hata museveni , lakini huwezi sikia dr, museveni, dr,raila huu uzumbukuku ni wa hapa TZ,hata mkapa, nyerere walikuwa nazo lakini hawakupenda huu uzumbukuku wa jk na vilaza wengine.
kuna haja pia ya kufanya vetting ya hivyo vyuo vinavyotoa hizo phd za wansiasa huenda kuna hongo fulani
Nadhan lengo lako ni kutueleza umesoma PhD ukaamua utupige fix kiaina
Mkuu niamini, sina nia wala haja ya kumpiga mtu fix kwa chochote kile...sihitaji kufanya hivyo, nitapata faida gani?
Hata Slaa na kale ka JCD kake ka kusoma misa, hapaswi kujiita Dr!
Na ni mabingwa wa kupiga majungu wasomi wa kweli wanaoingia kwenye siasa kwa kuwaambia humu sio kwenu, nendeni vyuo vikuu, nchi hii haina mahitaji ya viongozi wakuu wenye PhD, lakini ni hao hao ndio wapo mstari wa mbele kwenda kuokoteza PhD majalalani;
Alishasema kuwa amekwenda hospitali ila haoni nafuu. Nikamshauri labda abadilishe hospitali apate ushauri wa madaktari wengine.Tupo pamoja mkuu. Sasa huyo mama ulimsaidiaje mkuu wangu?