bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,010
- 736
Kama unataka mziki uliotulia kwa nyumbani kwako basi usihangaike na hivyo vingine mziki wa kistaarabu na wa heshma nunua home theatre ila kama unataka mziki kwa ajiri ya kusikiliza singeli ili nyumba ya jirani wakusikie nenda kwenye hizo high fidelity audio system. Ila kwangu mie HOME THIETRE NDIO THE BEST MUSIC.... HIZO NYINGINE TUPA KULE SINA PUB KWA NYUMBA YANGU.