Nashukuru sana kiongozi kwa updates za huko.Nina amini huko tuendako ni kuzuri zaidi kwa kuwa graph ya CDM kuaminiwa inazidi kupanda.Tamota-Lushoto
CCM-901
CDM-312
CUF-10
Nashukuru sana kiongozi kwa updates za huko.Nina amini huko tuendako ni kuzuri zaidi kwa kuwa graph ya CDM kuaminiwa inazidi kupanda.Tamota-Lushoto
CCM-901
CDM-312
CUF-10
Kwakweli matokeo hayaridhishi.. pamoja na hila zote za waoM hilo haliwezi kua utetezi maana hakuna aliekua hajui mbinu zao na kama hatuwezi zikabili hizi mbinu kwenye kata 29.. twawezaje kuuaminisha uma kwamba tutadhibiti nchi nzima? Nahitadi CDM mje na majibu.
Nahitaji pia mje na analysis ya maana ikiwa ni pamoja na idadi ya kura zote zilizopigwa katika hizi kata na kiasi CDM imepata ili tuweze jitathmini ingekua uraisi tungekua wapi.. pia tuweze kutathmibni chama kimekua kwa kiasi gani na ukilinganishwa na rasilimali zilizoelekezwa kwenye kukucha chama katika kata hizo. Mweze kutuenzela na kuwaaminisha wanachama na mashabiki wenu, ni nini fundisho na nini mikakati yankujirekebisha.
Tumeongeza kata lakini ukweli ni kinyume cha matarajio. Narejea kauli ya mkiti.. tutazoa kata 20 kati ya 29... aje hapa yeye au Mnyika msemaji wa chama atuambie Kulikoni?
Uwajibikaji kwanza....
Sitaki kupinga hoja yako ni nzuri, lakini tunapo sema cdm watuambie sababu za kushindwa ni zipi, hapo kidogo napata taabu, kwa sasabu cdm ilivyo kwa sasa inajengwa zaidi na wanachama wake wote kuliko kutegemea viongozi pekee, mimi ni mmoja wa wanachama niliyekuwepo kwenye michakato ya kampeni wilaya ya mbozi na cdm tumepoteza kata zote mbili
Kwa uchaguzi ulivyokuwa ni zaidi ya kupiga kampeni tu, kuna mambo mengi yanayopelekea kukosekana ushindi, 1. Rushwa 2. Uelewa mdogo wa wapiga kura(mfano: watu wengi utakuta wanakuambia mama yako hata kama ni mbaya uwezi ukamkataa) 3. Vitisho ( watu wamepigwa na kulazwa hospitali) 4. kukosekana kwa utawala bora ( jeshi la polisi na baadhi ya viongozi wa serikali kusaidia ccm) na mengine mengi, tusilaaumu sana zaidi ya kujipanga kama watanzania wote kwa ujumla tujipange katika katiba mpya haya mambo yawekwe sawa
Mkuu hayo yote yanajulikana, kitu muhimu ni kujipanga vilivyo kwani mashabiki hatukutaraji matokeo hayo, hasa ukizingatia hapa JF washabiki wa CCM hawakohoi na mitaani hapa Dar kama hamna watetezi wa CCM. Hivyo tulitaraji makubwa.
hii inafidia magepu yote ya CCM walioshida
Kamanda umesema vizuri na mbinu hizo chafu zilifahaika maana hazijaanza juzi wala jana. My concern ni kwamba tulijiandaaje kukabiliana na hujuma hizi? tutawaaminishaje watanzania kwamba tutaweza kabiliana na hizo hila na uelimishaji unaotakiwa kabla ya 2015?
Natambua ni majukumu yetu sote ila mikakati yote ya chama lazima yajielekeze katika kupambana na mbinu hizi na lazima mikakati hiyo ijidhihirishe pasipo shala kwamba inazaa matunda.