zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,621
hahahahaha! bigirita bana, napiga castle ya 8 hapa, usishtuke, ni castle laini (light)nilitaka kukupa neno ambalo lingeniondolea hamu ya kunywa hii bia yangu....damn!!!
Ngoja nikuache tu.
hahahahaha! bigirita bana, napiga castle ya 8 hapa, usishtuke, ni castle laini (light)nilitaka kukupa neno ambalo lingeniondolea hamu ya kunywa hii bia yangu....damn!!!
Ngoja nikuache tu.
Ng'ana Sweke, taarifa hii uliileta saa 7 mpaka sasa no update!.Habari ndiyo hiyo,CHADEMA inaongoza shehia kibao.Stay tuned nitawamwagia full data muda si mrefu.
Well said mkuu!....huyu jamaa sometime huwa anaripoti taharifa za ukweli'sasa leo sielewi imekuwaje....anyway mie bado namsubiriaNg'ana Sweke, taarifa hii uliileta saa 7 mpaka sasa no update!.
Jina lako linaonyesha unatoka kwenye lile kabila "the best tribe in Tanzania", mbona unatuaibisha?!.
Mode funga hii thread na kumpatia stahiki yake huyu jamaa tena irefushe zaidi ili funzo kwa wengine, you can't joke kwenye serious issue kama hii ya uchaguzi!.
.........kwa hiyo babake angesema anafaa mngempa kura? ndio shida ya watz kushikiwa akili......
Thubutu nini? kwani we mungu?thubutuuuuuu!
rais wa migomo unafahamika upo upande gani hapa JF, propoganda hukuanza jana.kuna jamaa yuko kule kanambia baadhi ya vituo wameshaanza kutoa matokeo.ameona katika vituo vitatu ccm inaongoza then cuf inafuatiwa na chadema anasema cdm ndo imeanza kufahamika kule so next time itatoa upinzani mkali sana
Sikubaliani na Ng'wana Sweke kuleta habari ya matokeo hata kabla ya kura kuhesabiwa lakini sikubaliani na wewe kumlaumu Sweke kutuletea habari za matukio mawili tofauti, kuripoti habari ya kweli si lazima uwe sehemu ya tukio inategemea na source yako ya habari na uaminifu wako unaweza kuwa sehemu ya tukio na usitupe habari ya kweli, lakini all in all tusubiri matokeo halisi baadae jioni. Hata hivyo hapa chini Sweke amesema wazi anasubiri chanzo chake cha habari.Ng'wana Sweke,
Umetoka kuripoti habari za jimboni Geita leo hii, na ukatoa update za muda si mrefu. Sasa hivi unatoa progress ya matokeo ya uchaguzi huko Uzini, Visiwani as if upo huko na mbaya zaidi umetoa matokeo kabla hata zoezi la kuhesabu kura kisheria halijaanza. Sasa huu sio ustaarabu kuleta habari as if upo LIVE wakati hujashuhudia lolote. Nakuomba useme ukweli, upo Zanzibar au upo Geita? Wakati mwingine tunalivunjia heshima jukwaa kwa habari za namna kama hii.
Mpaka saa 6 mchana zoezi la kupiga lilikuwa limekamilika,ikabidi kazi ya kuhesabu kura ianze,zaidi tulieni nitakuja na nondo full soon,chanzo changu toka Zenji kinaniandalia...sema network inazingua sana kule Uzini.
Ha ha haaa umenichekesha sana....labda yuko busy na kuhesabu kura....tuendelee kumpa mda kidogoKwan Tumaini Makene yuko wapi jamani? Aliahidi kutupa updates za masuala yote ya jimboni UZINI, lakini nashangaa leo amekuwa kimya kweli! Au mambo yamekuwa magumu?
.........kwa hiyo babake angesema anafaa mngempa kura? ndio shida ya watz kushikiwa akili......
Ng'ana Sweke, taarifa hii uliileta saa 7 mpaka sasa no update!.
Jina lako linaonyesha unatoka kwenye lile kabila "the best tribe in Tanzania", mbona unatuaibisha?!.
Mode funga hii thread na kumpatia stahiki yake huyu jamaa tena irefushe zaidi ili funzo kwa wengine, you can't joke kwenye serious issue kama hii ya uchaguzi!.
kuna jamaa yuko kule kanambia baadhi ya vituo wameshaanza kutoa matokeo.ameona katika vituo vitatu ccm inaongoza then cuf inafuatiwa na chadema anasema cdm ndo imeanza kufahamika kule so next time itatoa upinzani mkali sana
Habari ndiyo hiyo,CHADEMA inaongoza shehia kibao.Stay tuned nitawamwagia full data muda si mrefu.
PascoNg'ana Sweke, taarifa hii uliileta saa 7 mpaka sasa no update!.
Jina lako linaonyesha unatoka kwenye lile kabila "the best tribe in Tanzania", mbona unatuaibisha?!.
Mode funga hii thread na kumpatia stahiki yake huyu jamaa tena irefushe zaidi ili funzo kwa wengine, you can't joke kwenye serious issue kama hii ya uchaguzi!.
ng'ana sweke, taarifa hii uliileta saa 7 mpaka sasa no update!.
Jina lako linaonyesha unatoka kwenye lile kabila "the best tribe in tanzania", mbona unatuaibisha?!.
Mode funga hii thread na kumpatia stahiki yake huyu jamaa tena irefushe zaidi ili funzo kwa wengine, you can't joke kwenye serious issue kama hii ya uchaguzi!.