Habari ndiyo hiyo,CHADEMA inaongoza shehia kibao.Stay tuned nitawamwagia full data muda si mrefu.
Habari ndiyo hiyo,CHADEMA inaongoza shehia kibao.Stay tuned nitawamwagia full data muda si mrefu.
Mpaka saa 6 mchana zoezi la kupiga lilikuwa limekamilika,ikabidi kazi ya kuhesabu kura ianze,zaidi tulieni nitakuja na nondo full soon,chanzo changu toka Zenji kinaniandalia...sema network inazingua sana kule Uzini.
Tumsubiri Tumaini Makene....huyu jamaa yuko uwanja wa mapambano huko UziniTaarifa za kweli ni za yule aliyek kule tuuuuuuuuuuu, tupen habari wandugu,