Mkuu mawazo yako si ya kujenga bali kubomoa, sikutegemea Junior Member kuja hapa na mawazo ya kidini, unapopandikiza hisia za udini zinakusaidia nini?
huyo ni kuonyesha mawazo yako ni finyu sana huwezi kufikiri outside the box. Kwa hiyo wewe kura zako zote umepiga kwa kufuata dini yako, pole sana kwa kukosa hekima. Badilika hii ni Tanzania
Tehe tehe teheeeeeeeeeeeeeeee!. Mwaka 2000 wakati Maaskofu wanasema Kikwete ni chaguo la mungu, wavivu wa kufikiri mlikaa kimya (Japokuwa Mrema alihoji). Kumbuka wakati huo F Mbowe aligombea na alikuwa mkristu.matokeo yanaonesha dhahir SLAA amepata kura za wakristo (mikoa yenye wakristo wengi)
Technologymatokeo yanaonesha dhahir SLAA amepata kura za wakristo (mikoa yenye wakristo wengi)