matokeo yanaonesha dhahir SLAA amepata kura za wakristo (mikoa yenye wakristo wengi)
Utawala mpya wa Dr. Slaa unapaswa kuifumua na kuisuka upya senate ya Chuo Kikuu......................UDSM..................imefika mahali hata udakitari wa heshima unatolewa kisiasa.....mfano walitumia misingi gani kumuenzi fisadi mkuu wa Takukuru Bw. Hosea kuwa daktari kama siyo Senate ys UDSM inaendesha ufisadi.......Hao mashetani akina Mukandala walijidai wana nguvu za kisomi kumbe unafiki. Lakin anatakiwa ajiuzulu sasa UVC maana hatuna imani naye atawaandaa vipi wanafunzi ambao wanatakuwa viongozi wa kesho?
Tarime watu wana akili timamu kule. wanaelewa wazi kwa tulipofikia CCM haiwezi tena kuongoza nchi kwa maslah ya watanzania bali wanaweza kwa maslah yao binafis. Big up my home land TARIME
what a bad morning to them ccm...
Hata matokeo yabadilike REDET na SYNOVATE wamepoteza sifa ya kuaminika na na inatakiwa wafunge kazi zao Chuo Kikuu na nchini.