Mkuu JK tuheshimu watu wengine. Huwezi ku-rule out kuwa CCM asilimia fulani wakati matokeo ndo bado yanatolewa. Heshimu binadamu wenzako. Usitype tu kwa kuwa unaweza kutype.
Hata kama kweli, Tanga twawajua, wavivu kufikiria, sembuse kujua kama nchi inachukuliwa na wenyewe...kwa hili watakuwa 'waja leo bila kurudi' watauona mwezi...JK chali...'majuha' wameamua kuikamata nchi yao'
....CCM utawajua tu kwa kujipa moyo..atutajie jimbo moja tu ambalo wameshinda....awe detailed kidogo kuhusu idadi ya kura, waliopiga au ngapi zimeharibika...asilimia hiyo inaweza kuwa ni ya walevi aliowakura kilabuni au wauza mitumba sokoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.