Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Tofauti ya kura 358 ni ndogo sana,
Kweli kabisa ni ndogo mno...
Tofauti ya kura 358 ni ndogo sana,
Waache waendelee kujiumiza roho humu ndani.Nenda Jukwaa la michezo.Arsenal thread.Kama uko hapa meza tu pamoja na kwamba ni ngumu.
Mtasahihisha sana leo
Mitandao ya internet haipatikani, Waandishi wa habari wanapata taabu. Source: ufoo saro
namsikia mwakilishi wa ITV akilalamika kuwa mitandao ya net haifunguki kabisha je ni hujma au ni kawaida
Mungu aliuumba kila mtu kwa namna yake hakuna sababu ya kuchukia sura yake bali chukia matendo yake.Mungu ni Baba wa wote wenye mwiliMkuu sura yake inawakilisha roho yake.
namsikia mwakilishi wa ITV akilalamika kuwa mitandao ya net haifunguki kabisha je ni hujma au ni kawaida
YANGOZA KWA TOFAUTI YA KURA 500 NA ZAIDI MPAKA SASA by ITV
kweli kuu hata NEC nahisi watasahihisha matokeo hali ili wabebe magamba tutalia nao lo!Paka masaburi vaseline hayo, wakati ukiwa uchi wale wanywa gongo wenu mliowanunulia mipombe na kuwapa tshirt wasipate tabu kushughulika.
Nadhani utakuwa mgeni wa uchaguzi it is very normal mijini vyama vya upinzani kuwa mbele... na ili ujue upinzani unashinda inabidi kuiacha CCM (chama tawala ) kwa mbali sana... if you deny this fact wait and you will see.
Majimbo ya mbeya yamechukuliwa na cdm
Anaitwa mtoto koma jeuri kafanye kwa mama yako ccm. Aka mtoto jeckya.hah hah hah,,,mtoto atayezaliwa kwa iyo mimba ataitwaje?