mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,001
Habari hizi ni za kweli kabisa CDM imeshinda Igunga nimewasiliana na mtu ambaye yupo kwenye chumba cha kuhesabia kura, kwa sasa kinachofanyika toka usiku ni kuingiza matokeo kwenye zile computer za Riz One ili ichakachue. Mkurugenzi amesema matokeo saa 8 na watumishi wa Halmashauri ambao wana umri mkubwa(wazee) washeambiwa warudi majumbani kwao kwa kuwa hawana uwezo wa kukimbia hali itakapokuwa ngumu baada ya kuchakachua matokeo.