ben genious
Senior Member
- Jun 4, 2011
- 176
- 23
naoni bangi tu, ngoja tusubir tume tumechoka na rabsha
Hivi hayo matokeo wanajumlisha kwa vidole au?????!!!!!
Stop Texts Tweets Favs Msgs About zittokabwe Duh yanapigwa mabomu kila mtu hoi machozi tu. Tumo hapa
kambini kwetu Planetel Hotel ni
machozi tu zittokabwe Mabomu yanapigwa. Hali mbaya sana zittokabwe @shurufu irregularities nyingi sana zittokabwe @Mwanakili90 kuna vurugu zatokea. zittokabwe @chiefezra our count gives us 45% and ccm 49%.
Irregularities are mountanious
wewe unaongelea icelanders!!Ngoja nami nianzishe sredi yangu. 'Mgombea wa cUf aibuka kidedea'......
Nawapa hongera CDM kwa ushindi wa kishindo!
Mapambano yanaendelea mpaka kieleweke
Bakwata wapi?Nikamwelewa Dr Kafumu kukataa kusaini kwa point 2.
1. alisha somo Twitter ya Zitto akikiri Chadema imeshindwa
2. FFU wamewadhalilisha tena waislamu maana katika kupiga mabomu na kumwaga maji ya washa washa vijana kadhaa wa kiislamu wamepoteza baraghashia zao na wanawake wachache wa kiislamu waliokuwa wanapita karibu wamefunuliwa hijabb na hivyo kudhalilishwa kidini. Astaghafululah!!! Takbiri, Takbir!!!!