Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,292
- 31,448
wewe hujawajua wvikwazo vya maendeleo ya taifa hili.KAA KIMYA,
YAAN MTU SOHESABIWA NDO KIKWAZO CHA MAENDELEO NA UNAAMINI HILO KAKA/DADA?
Kwa namna fulani anaweza akawa sahihi... mfano mdogo tu hapo home kwenu, hivi kama hujui mpo wangapi unaweza ukajuwa unune mchele/unga kilo ngapi ili utowatoshe wote? Sasa expand haya maelezo kwenda kwenye madawa, idadi ya hospitali, wapi pajengwe hospitali ya kutibu magonjwa gani, wapi pajengwe shule ngapi, wapi panahitaji ambulensi ngapi...etc...etc