Matokeo ya sensa: Tanzania ina watu 44,929,002!

Concrete

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
3,605
549
Leo katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar Rais Jakaya Kikwete atazindua matokeo ya sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwezi August, 2012.

Nimeona nifike mwenyewe pasipo kupenda baada ya lengo langu la kupata huduma kwenye ofisi za umma leo kushindwa baada ya kutokukuta wahusika karibu wote kisa ni kwamba wameagizwa wote waende kuhudhuria tukio hili tena wamepewa na posho!!

UPDATES
*Tukio lilitakiwa lianze kufanyika toka saa mbili asubuhi lakini mpaka sasa(saa nne na nusu) rais hajafika japokuwa watu wameshafika, hakuna cha maana zaidi ya burudani nzito ya Muziki inayoporomoshwa kwa fujo(Kama Bonanza)

*Rais ameshafika na tukio limeanza kwa mratibu wa sensa kitaifa na mwakilishi wa UNFDA kutoa hotuba fupi.

*Waziri wa fedha Mgimwa, Balozi Seif Idd, Pinda nao wametoa hotuba za shukrani na mchakato wa sensa ulivyokwenda.

*Rais sasa anaongea, anasema matokeo ya leo ya sensa ni ya awali(General) mengine yatatoka baadaye mwezi wa Pili mwakani(Details eg. Ratio of male and Female) kisha mwezi wa nne(At district level)

Tanzania ina jumla ya watu 44,929,002!

- Tanzania Bara 43,625,434
- Zanzibar 1,303,568

Should Tanzania's current population growth projection remain intact, the country's population will hit 51 million in 2016 straining the provision of basic services, new data shows.

According to the preliminary results of an August 2012 census released by President Jakaya Kikwete Monday, the east African nation currently has 44.9 million people, with 1.3 million of these in Zanzibar and 43.6 million are on the mainland.

In the last census carried out in 2002, Tanzania had a population of 34.4 million. But the country's growth declined to 2.6 per cent between 2002 and 2012, compared to 2.9 per cent between 1988 and 2002.

"It may not be seen as a problem, especially for a vast country like ours, but it is a big burden economically and socially," President Kikwete said.

"With 50 million people, it will be very difficult for the government to cater for the needs of its people because there will be resource scarcity."

Dr Joseph Mshafi, a medical consultant with the Tanzania arm of PSI, the global health organisation, agrees.

"Tanzania has a lot of children. The population increase corresponds with an increase in the number of people of child-bearing age. These will soon reach the age of child bearing and we will have a massive reproduction rate. With such a big population growth there will be a big impact on the economy."

He urged Tanzanians to plan families so as to take care of their members adequately.

However, the 2012 census results are below the projection of 45,798,475 people seen in 2002. Nevertheless, the total population by 2002 had almost tripled in 35 years

Said Dr Mshafi: "The segment of the population with unmet needs accounts for 22 per cent. This is a section of the population that is potentially supposed to use family planning methods, but does not do so."

Reasons for this include inaccessibility to the services and their unaffordability. Although the country's policy advocates free family planning services, they are not provided free of charge.

According to Dr Mshafi, Tanzania fares well in family planning in spite of such problems. "We are on the right track despite budgetary constraints," he said.

Tanzania's population growth is the second lowest in the East African region after that of Burundi of 2.3 per cent, according to the World Bank. Uganda has the highest at 3.2 per cent, followed by Rwanda at 2.96 per cent and Kenya 2.7 per cent.

Analysts say the declining growth rate suggests more women are becoming more engaged with the economy, and more educated.

The however cautioned that despite a decrease, the current rate of economic growth of about 6.5 per cent does not support a population growth rate of 2.6 per cent.
 
Ni katika viwanja vya mnazimmoja. Mzee wa kaya yuko na "mtoto wa mkulima". Ni uzinduzi wa matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012

Kawasili na unapigwa wimbo wa taifa tayari kwa mzee wa kaya kuzindua matokeo ya sensa.

Vilevile TBC wanarusha!!

UPDATES TO COME!!!!!

Hivi jamani sherehe hizi ni ulaji wa watu au nini? Si mkuu wa kaya angeita wanahabari na kutangaza tu tuko watanzania kadhaa basi!

Matumizi ya vigogo wote waliokuja leo plus maandalizi, posho(sitting allowance), kulipa vikundi vya burudani, upambaji, nk.
 
Pesa ni matumizi. Hayo ndiyo matumizi ya pesa. Hili ni tukio muhimu, na ni lazima ligharimu, kwani mlitaka mambo yafanyike bila gharama?????????
 
mungu ibariki tanzania.kikwete amefanya mambo makubwa sana.. hili la sensa,kitambulisho cha uraia na katiba mpya...TUTAMKUMBUKA
 
Viongozi karibu wote wa serikali wamehudhuria matokeo ya sensa ya watu na makazi. Lakini makamu wa kwanza hayupo, hii imekaaje?. Hausiki au yuko safari.
 
Ngoja tusubirie sensa, mimi nakumbuka nilihesabiwa mara tatu kwenye vituo tofauti
na kwanini ukakubali kuhesabiwa zaidi ya mara tatu?ninyi ndo kikwazo cha maendeleo ya nchi hii.wewe unadhani usipotoa taarifa kama ushahesabiwa,karani yeye angeota kwamba wewe tayari?yaani watu wengine bwana?
 
  • Thanks
Reactions: GDM
Matokeo yanzazinduliwa jamani kuna nini katika nchi hii! mie nilitegemea yatangazwe kama wanvofanya kwa matokeo ya mitihani sasa duuu!

Na kama wanazindua watakaa siku ngapi hapo mnazi mmoja wakiendelea na maonyesho au uzinduaji kaaaaaaaaaazi kweli kweli!
 
Sisi wote tulikuwa kazini msichana wa kazi ndiye aliyetoa takwimu zote za watu 7 wa familia yangu
 
Back
Top Bottom