Matokeo ya sensa zanzibar mil moja na laki tatu.
Napinga matokeo.
Tumeonewa.
Aliwakilishwa na Tanzania Bureau statistics![/QUOT
basi wapongezwe hao waliomwakilisha.
Hakuna haja ya kupunguza kuzaliana wakati tuna rasilimali za kutosha!kikubwa ni namna gani nzuri ya kutumia vizuri hichi tulichonacho kwa faida ya wote!Watanzania tumetakiwa tupunguze kuzaana na kuongeza juhudi katika kufanya kazi.
Tupo milion 44 laki 9 ishirin na 9 elfu na 2, Tanzania bara watu milion 43 laki 6 ishirin na 5 elfu na mia 4 thelathin na 4. Zanzibar watu milion 1 laki 3 na elfu 3 mia 5 na sitin na 8
jumlisha mimi, maana hawakunihesabu
Assallam alleykum ni neno la kiarabu lenye maana ya "Amani iwe juu yenu" kwa hiyo ni kama kutakiana amani. Ila bwana yesu asifiwe ipo too specific na haiwezi kutumiwa sehemu nyingine.
Matokeo yanzazinduliwa jamani kuna nini katika nchi hii! mie nilitegemea yatangazwe kama wanvofanya kwa matokeo ya mitihani sasa duuu!
Na kama wanazindua watakaa siku ngapi hapo mnazi mmoja wakiendelea na maonyesho au uzinduaji kaaaaaaaaaazi kweli kweli!
Sensa ya Tz kwa mwaka 2012 ni watu milioni 44,929,002
Uzazi wa mpango hureeee!
najiuliza sana,tena sana
kwani asalaam aleykum ni ishakua salam official ya kiserikali??
Kwa maana karibia wazungumzaji wote nimewaskia wakija na salam ya namna hii
kuna nin hapo??
Ingekua inasemwa bwana yesu asifiwe sana then ikabaki hivyo hivyo haitaleta ukakasi??