great vision
Senior Member
- Jul 1, 2011
- 113
- 67
Idadi ya watanzania ni 44,929002
JK awaumbua CDM kwa kutaka kufanya maandamano kipindi cha sensa
Ngoja tusubirie sensa, mimi nakumbuka nilihesabiwa mara tatu kwenye vituo tofauti
Wale wazee wa pedo waliokataa kuhesabiwa aliwafanya nini?
Hongera JK kwa kuwezesha zoezi la sensa huku serikali ikigharimia 90% wakati wafadhaili 10%
Kakosea nini tena,au amerudia madudu ya naibu waziri wa elimu?kikwete amekosea kusoma idadi.
sijawai kuona rais asiyejua kusoma tarakimu.
Alirudia....na akapatia kwa usahihi...kukosea ni kitu cha kawaida mkuu......sema alikuwa nervouskikwete amekosea kusoma idadi.
sijawai kuona rais asiyejua kusoma tarakimu.
Aliwakilishwa na Tanzania Bureau statistics!kikwete alizunguka manyumbani kuhesabu watu??
Duh!Zanzibar ina idadi ndogo sana ya wananchi!Tupo milion 44 laki 9 ishirin na 9 elfu na 2, Tanzania bara watu milion 43 laki 6 ishirin na 5 elfu na mia 4 thelathin na 4. Zanzibar watu milion 1 laki 3 na elfu 3 mia 5 na sitin na 8