Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Nov 4, 2011 #41 Kipi hapo kilichofanyika kutokana na shinikizo la Lema?
Rocket Senior Member Apr 11, 2011 133 7 Nov 4, 2011 #42 kwa kweli stail y Lema nimeikubal mpk CCM ije kuzinduka na michezo y Lema watakuwa wameshapigwa mabao mengi sna.......
kwa kweli stail y Lema nimeikubal mpk CCM ije kuzinduka na michezo y Lema watakuwa wameshapigwa mabao mengi sna.......
Kurunzi JF-Expert Member Jul 31, 2009 9,277 9,912 Nov 4, 2011 #44 Habari haijakaa vema nashindwa kutoa comments, OCD kafunguliwa mashitaka gani? na Lini?