MwanaCBE
JF-Expert Member
- Sep 23, 2009
- 1,771
- 804
cuf=ccm..ninavyoona cuf na cdm watagawana kura then mgombea wa ccm atapeta kiulaini. Ili upinzani ushinde inabidi cdm na cuf waachiane la sivyo mtakumbuka hii post yangu siku ya matokeo.
cuf=ccm..ninavyoona cuf na cdm watagawana kura then mgombea wa ccm atapeta kiulaini. Ili upinzani ushinde inabidi cdm na cuf waachiane la sivyo mtakumbuka hii post yangu siku ya matokeo.
<br />Msema kweli mpenz wa mungu,<br />
Mimi sitaki hiki chama cha mashehe na wavaa kanzu na balagashia na mgombea wao MALEOPARD(MACHUI) ashinde, lakini nimesikitika sana leo nikiwa ndani ya Basi nilipopita Igunga mjini. Kila kona imesheheni bendera za CUF, Benson Kigaila na wenzio ikiwa mnafanya mchezo huko na jimbo likaenda msikitini au mashehe wakawapita mtatafutia pa kujichimbia, hatutaki ujinga kabisa.<br />
<br />
Nilikuja kampeni za busanda na mliwazidi CUF kwa kila kitu, kwa nini Igunga mjini yamejaa mabendera ya CUF na za CHADEMA ni za kuokoteza vijiwe viwili vitatu?<br />
Yule Mtatiro bogus anawashinda nini hapo?<br />
My take; KAMA MMESHINDWA KAZI KAMANDA ONDOKENI WAJE MAKAMANDA WENGINE!<br />
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! HATUTAKI JIMBO LIENDE MSIKITINI.
Kampeni zikiendeshwa vizuri na kumfungamanisha mgombea na CUF na wavua magamba watu wa Igunga wanaweza kuamka na kuzikataa hadaa za CUF. Bado kuna muda wa kujipanga. Kwani CUF inasimamia nini huku bara?ninavyoona CUF na CDM watagawana kura then mgombea wa CCM atapeta kiulaini. Ili upinzani ushinde inabidi CDM na CUF waachiane la sivyo mtakumbuka hii post yangu siku ya matokeo.
ninavyoona CUF na CDM watagawana kura then mgombea wa CCM atapeta kiulaini. Ili upinzani ushinde inabidi CDM na CUF waachiane la sivyo mtakumbuka hii post yangu siku ya matokeo.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Acha udini wewe! Hapo sasa unataka kuonyesha kwamba CHADEMA NI CHAMA CHA WAKRISTO TU! Waropokaji kama wewe ndo mnaoharibu image ya chadema kwa wa2 kama hauwez kuchangia kaa kimya.
Endeleeni kujiridhisha kwa historia hata Busanda mlikuwa na zaidi ya hizo mkaja kuambulia kura mia mbili.Mamoboi naingana nawe kwa asilimia 100%, hali iliyopo Igunga ukifuatilia kwa umakini utakuta mgombea huyo wa CUF ndo anatajwa zaidi, na tangu jimbo limekuwa wazi yeye na MAHONA na timu za oganaizesheni za CUF wamekuwa ndani ya jimbo. Faida kubwa aliyonayo Mahona ni kuwa;
- Amegombea ubunge mwaka 2010 kwa tiketi ya CUF na kupata zaidi ya kura 11,000.
- Amefanya kazi na shirika la world vision kwa miaka kadhaa akilizunguka jimbo la Igunga.
- Ni mkazi wa Igunga na mzaliwa wa Igunga na anatoka kwenye familia maarufu tarafa ya Nsimbo.
- Ni mjenga hoja hodari huku akisimamia ukweli na matatizo ya wananchi.
- Ana elimu ya kutosha kuwashawishi wapiga kura - STASHAHADA YA JUU YA BIASHARA NA UTAWALA,
- Ni kijana mwenye umri wa miaka 29 tu na kivutio kikubwa cha akina mama.
- CUF inaonekana wamejipanga vizuri safari hii kwani Busanda CUF walienda kutalii wakati uchaguzi unaanza lakini kwa Igunga wamefanya Ground work ya kutosha.
- CUF wana mtandao mzuri ndani ya Igunga kuliko CDM.
- CCM hawana mtandao mzuri kwani RA alijijenga yeye kama yeye.
- Kama wananchi wanahitaji kiongozi na maendeleo watamchagua kijana MAHONA na kama wanahitaji SHOW ZA ANGANI watamchagua Mwl Kashinje au Dr wa kuchakachua madini.
- Tusubiri tuone wana igunga wanahitaji nini.
Dr kafumu ndio huyu mke wake aliwahi kuwa headmistress baraa secondary na ruvu sec?
namjua huyu Dr ila sidhani kama ni politician mzuri!Exactly,uko sawa kabisa
nimesoma na mtoto wao Nsumba boys pale mwanza,.....
mimi nilidhani ana mtoto wa kike pekee...!Exactly,uko sawa kabisa
nimesoma na mtoto wao Nsumba boys pale mwanza,.....
Max tafadhali watu km hawa wasipewe nafasi hapa jamvini, yaani post ya kwanza tu mtu anaanza na ubaguzi tena wa waziwazi, tafadhali hapa pasiwe sehemu ya kukashifiana na hasa katika masuala yanayohusiana na dini. JF inasomwa na watu wa dini zote.Msema kweli mpenz wa mungu,
Mimi sitaki hiki chama cha mashehe na wavaa kanzu na balagashia na mgombea wao MALEOPARD(MACHUI) ashinde, lakini nimesikitika sana leo nikiwa ndani ya Basi nilipopita Igunga mjini. Kila kona imesheheni bendera za CUF, Benson Kigaila na wenzio ikiwa mnafanya mchezo huko na jimbo likaenda msikitini au mashehe wakawapita mtatafutia pa kujichimbia, hatutaki ujinga kabisa.
Nilikuja kampeni za busanda na mliwazidi CUF kwa kila kitu, kwa nini Igunga mjini yamejaa mabendera ya CUF na za CHADEMA ni za kuokoteza vijiwe viwili vitatu?
Yule Mtatiro bogus anawashinda nini hapo?
My take; KAMA MMESHINDWA KAZI KAMANDA ONDOKENI WAJE MAKAMANDA WENGINE!
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! HATUTAKI JIMBO LIENDE MSIKITINI.