Matokeo ya Kura za Maoni Igunga: CCM - Dr Kafumo, CHADEMA - Mwl Joseph Kashindye

Hope mwl. Atashinda madent wake na wali wenzie watasupport. Big up cdm bg up teacher. Mwendo mdundo
 
Duh Hilo ni Bao La kisigino, sasa ni Muda Muhafaka kwa WanaIgunga Kuelezwa Ukweli kuhusu mustakabali wao kuwa Mikataba yote Mibovu ya rasilimali ya Madini Hufanywa na watu wa serekalini NA HUKU WANASIASA WAKISAPOTI na kama alishindwa kuwatetea wakati akiwa Kamishna atawezaje sasa yupo kwenye kupiga Siasa? Duh naona ndio mwanzo wa kukosa jimbo kwa Magamba!! Alishashindwa kuwasaidia akiwa serekalini ataweza akiwa Mwanasiasa?????????
 
Msema kweli mpenz wa mungu,<br />
Mimi sitaki hiki chama cha mashehe na wavaa kanzu na balagashia na mgombea wao MALEOPARD(MACHUI) ashinde, lakini nimesikitika sana leo nikiwa ndani ya Basi nilipopita Igunga mjini. Kila kona imesheheni bendera za CUF, Benson Kigaila na wenzio ikiwa mnafanya mchezo huko na jimbo likaenda msikitini au mashehe wakawapita mtatafutia pa kujichimbia, hatutaki ujinga kabisa.<br />
<br />
Nilikuja kampeni za busanda na mliwazidi CUF kwa kila kitu, kwa nini Igunga mjini yamejaa mabendera ya CUF na za CHADEMA ni za kuokoteza vijiwe viwili vitatu?<br />
Yule Mtatiro bogus anawashinda nini hapo?<br />
My take; KAMA MMESHINDWA KAZI KAMANDA ONDOKENI WAJE MAKAMANDA WENGINE!<br />
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! HATUTAKI JIMBO LIENDE MSIKITINI.
We Ch***z ina mana waislam hawatakiwi kuongoza nchi hii, futa kauli yako kama unataka mabadiliko ni lazima upate trust ya dini zote. NO WONDER WATU WANAAMINI CDM NI YA KANISA. futa pumba zako.
 
mwalimu namuombea ashinde......cuf hawana lolote na huyo dr wa ccm ndo kabisaaaaaa hana lolote
 
Mamoboi naingana nawe kwa asilimia 100%, hali iliyopo Igunga ukifuatilia kwa umakini utakuta mgombea huyo wa CUF ndo anatajwa zaidi, na tangu jimbo limekuwa wazi yeye na MAHONA na timu za oganaizesheni za CUF wamekuwa ndani ya jimbo. Faida kubwa aliyonayo Mahona ni kuwa;<ol class="decimal"><li>Amegombea ubunge mwaka 2010 kwa tiketi ya CUF na kupata zaidi ya kura 11,000.</li><li>Amefanya kazi na shirika la world vision kwa miaka kadhaa akilizunguka jimbo la Igunga.</li><li>Ni mkazi pointi na 3 na 6 umeniboa sana.
 
Msema kweli mpenz wa mungu,
Mimi sitaki hiki chama cha mashehe na wavaa kanzu na balagashia na mgombea wao MALEOPARD(MACHUI) ashinde, lakini nimesikitika sana leo nikiwa ndani ya Basi nilipopita Igunga mjini. Kila kona imesheheni bendera za CUF, Benson Kigaila na wenzio ikiwa mnafanya mchezo huko na jimbo likaenda msikitini au mashehe wakawapita mtatafutia pa kujichimbia, hatutaki ujinga kabisa.

Nilikuja kampeni za busanda na mliwazidi CUF kwa kila kitu, kwa nini Igunga mjini yamejaa mabendera ya CUF na za CHADEMA ni za kuokoteza vijiwe viwili vitatu?
Yule Mtatiro bogus anawashinda nini hapo?
My take; KAMA MMESHINDWA KAZI KAMANDA ONDOKENI WAJE MAKAMANDA WENGINE!
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! HATUTAKI JIMBO LIENDE MSIKITINI.
Mungu hapendi wabaguzi kama wewe, na sidhani kama wewe ni chadema kweli, unataka kujenga hasira za watu wachukie chadema kwa upupu wako uloweka hapa, wewe utakuwa gamba kama wengine walivyosema, unapaswa kupuuzwa
 
Msema kweli mpenz wa mungu,<br />
Mimi sitaki hiki chama cha mashehe na wavaa kanzu na balagashia na mgombea wao MALEOPARD(MACHUI) ashinde, lakini nimesikitika sana leo nikiwa ndani ya Basi nilipopita Igunga mjini. Kila kona imesheheni bendera za CUF, Benson Kigaila na wenzio ikiwa mnafanya mchezo huko na jimbo likaenda msikitini au mashehe wakawapita mtatafutia pa kujichimbia, hatutaki ujinga kabisa.<br />
Nilikuja kampeni za busanda na mliwazidi CUF kwa kila kitu, kwa nini Igunga mjini yamejaa mabendera ya CUF na za CHADEMA ni za kuokoteza vijiwe viwili vitatu?&lt;br /&gt;<br />
Yule Mtatiro bogus anawashinda nini hapo?&lt;br /&gt;<br />
My take; KAMA MMESHINDWA KAZI KAMANDA ONDOKENI WAJE MAKAMANDA WENGINE!&lt;br /&gt;<br />
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! HATUTAKI JIMBO LIENDE MSIKITINI.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hii crap imetoka wapi tena?eti nae anajifanya mwana cdm,hakuna upuuzi kama huo,we knw what u'r trying to say,igunga hakuna hzo bendera za cuf..hz ndio siasa za maji taka,mdini mkubwa wewe.
 
mamoboi naingana nawe kwa asilimia 100%, hali iliyopo igunga ukifuatilia kwa umakini utakuta mgombea huyo wa cuf ndo anatajwa zaidi, na tangu jimbo limekuwa wazi yeye na mahona na timu za oganaizesheni za cuf wamekuwa ndani ya jimbo. Faida kubwa aliyonayo mahona ni kuwa;
  1. amegombea ubunge mwaka 2010 kwa tiketi ya cuf na kupata zaidi ya kura 11,000.
  2. amefanya kazi na shirika la world vision kwa miaka kadhaa akilizunguka jimbo la igunga.
  3. ni mkazi wa igunga na mzaliwa wa igunga na anatoka kwenye familia maarufu tarafa ya nsimbo.
  4. ni mjenga hoja hodari huku akisimamia ukweli na matatizo ya wananchi.
  5. ana elimu ya kutosha kuwashawishi wapiga kura - stashahada ya juu ya biashara na utawala,
  6. ni kijana mwenye umri wa miaka 29 tu na kivutio kikubwa cha akina mama.
  7. cuf inaonekana wamejipanga vizuri safari hii kwani busanda cuf walienda kutalii wakati uchaguzi unaanza lakini kwa igunga wamefanya ground work ya kutosha.
  8. cuf wana mtandao mzuri ndani ya igunga kuliko cdm.
  9. ccm hawana mtandao mzuri kwani ra alijijenga yeye kama yeye.
  10. kama wananchi wanahitaji kiongozi na maendeleo watamchagua kijana mahona na kama wanahitaji show za angani watamchagua mwl kashinje au dr wa kuchakachua madini.
  11. tusubiri tuone wana igunga wanahitaji nini.

  1. 7,8,10,11 - hopeless
  2. 6 - insult to men {unawatusi wanamume wa igunga-kuwa mahona hahitaji kura zao kwa vile wake zao washampa tayari}
  3. 5- angalia ma-dk wanavolala bungeni na wanavopafomu poorly serikalini - dk jk, dk kafumu, dk mponda
  4. 1 kama alishindwa na ra mwaka 2010, a performance ya ra inaonekana bungeni, huyu mahona atakua chini zaidi ya ra
  5. 4 - kama ngele-giza
  6. general comment: Mahona >>>ccm 'b'
 
Msema kweli mpenz wa mungu,
Mimi sitaki hiki chama cha mashehe na wavaa kanzu na balagashia na mgombea wao MALEOPARD(MACHUI) ashinde, lakini nimesikitika sana leo nikiwa ndani ya Basi nilipopita Igunga mjini. Kila kona imesheheni bendera za CUF, Benson Kigaila na wenzio ikiwa mnafanya mchezo huko na jimbo likaenda msikitini au mashehe wakawapita mtatafutia pa kujichimbia, hatutaki ujinga kabisa.

Nilikuja kampeni za busanda na mliwazidi CUF kwa kila kitu, kwa nini Igunga mjini yamejaa mabendera ya CUF na za CHADEMA ni za kuokoteza vijiwe viwili vitatu?
Yule Mtatiro bogus anawashinda nini hapo?
My take; KAMA MMESHINDWA KAZI KAMANDA ONDOKENI WAJE MAKAMANDA WENGINE!
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! HATUTAKI JIMBO LIENDE MSIKITINI.

wewe kweli ni kamanda wa udini....
 
Kuichagua cuf ni sawa na kuipigia kura ccm. wana Igunga wasidanganywe na sera za akina Mahona, chagueni chadema, chama chenye sera ya kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi wa nchi hii. mwl Kashindye anaweza, mchagueni anatufaa
 
"Ni kijana mwenye umri wa miaka 29 tu na kivutio kikubwa cha akina mama"



Nimeipenda hata Rais alikuwa kivutio kikubwa kwa wanawake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Dr. Kafumu namfahamu vizuri ni mwoga sana hana uwezo wa kujiexpress. Ijapokuwa sijajua uwezo wa mwalimu Kashindye najua atashinda kutokana na sababu zifuatazo;-
v) Kikubwa wananchi hawataki kupeleka mtu bungeni kupiga benchi bila hoja akiwa anashangilia mafisadi.

Yaan wananchi hawahawa wa Igunga waliokuwa wanamchagua kwa zaidi ya 90% mwakilishi aliyekuwa bubu Bungeni, na fisadi kwa zaidi ya miaka 18 na kumlilia sana ata pale alipolazimika kujiuzuru, eti leo hii wamepiga u-turn ghafla hawataki Bubu bungeni wala mtetea ufisadi?? ngumu sana kumeza!!

Kwa assumption ya haraka,Wana-Igunga wanamhitaji mtu anayefanana na Rostam kwa tabia na matendo..
 
acha udini wewe hakuna mwana cdm yeyote anaependa udini kama nyie magamba peleka ugamba wako ccm
magamba hata yakijificha vipi watu wanayaona tuuu!
Siipendi magamba kabisaa nashukuru mkuu umetambua gamba hili!
 
Msema kweli mpenz wa mungu,
Mimi sitaki hiki chama cha mashehe na wavaa kanzu na balagashia na mgombea wao MALEOPARD(MACHUI) ashinde, lakini nimesikitika sana leo nikiwa ndani ya Basi nilipopita Igunga mjini. Kila kona imesheheni bendera za CUF, Benson Kigaila na wenzio ikiwa mnafanya mchezo huko na jimbo likaenda msikitini au mashehe wakawapita mtatafutia pa kujichimbia, hatutaki ujinga kabisa.

Nilikuja kampeni za busanda na mliwazidi CUF kwa kila kitu, kwa nini Igunga mjini yamejaa mabendera ya CUF na za CHADEMA ni za kuokoteza vijiwe viwili vitatu?
Yule Mtatiro bogus anawashinda nini hapo?
My take; KAMA MMESHINDWA KAZI KAMANDA ONDOKENI WAJE MAKAMANDA WENGINE!
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! HATUTAKI JIMBO LIENDE MSIKITINI.
Wewe ndio unaweza kuwa mpenzi wa mungu ulivyokuwa mbaguzi.
Uoni kama unaonyesha CDM ni chama cha Wakirstu, nyie ndio mnamualibia Dr Slaa, pamoja na CDM kwa kauli zenu za kipuuzi
 
Taarifa nilizo pata hivi asubuhi ni kwamba Muheshimiwa Kashinje niye Mgombea mchaguliwa wa Chama cha CDM,, sasa anashindana na Kibaraka mmoja ambaye ni kamishna wa madini toka wizara ya N/ madini Dr. Kafuma.. Na huyu Kashinje ni Mratibu ya Elimu Wilaya ya Igunga
 
Inteligensia @ work....Hivi Nape yupo wapi mbona simsikii sana sku izi?
Msema kweli mpenz wa mungu,
Mimi sitaki hiki chama cha mashehe na wavaa kanzu na balagashia na mgombea wao MALEOPARD(MACHUI) ashinde, lakini nimesikitika sana leo nikiwa ndani ya Basi nilipopita Igunga mjini. Kila kona imesheheni bendera za CUF, Benson Kigaila na wenzio ikiwa mnafanya mchezo huko na jimbo likaenda msikitini au mashehe wakawapita mtatafutia pa kujichimbia, hatutaki ujinga kabisa.

Nilikuja kampeni za busanda na mliwazidi CUF kwa kila kitu, kwa nini Igunga mjini yamejaa mabendera ya CUF na za CHADEMA ni za kuokoteza vijiwe viwili vitatu?
Yule Mtatiro bogus anawashinda nini hapo?
My take; KAMA MMESHINDWA KAZI KAMANDA ONDOKENI WAJE MAKAMANDA WENGINE!
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! HATUTAKI JIMBO LIENDE MSIKITINI.
 
Msema kweli mpenz wa mungu,
Mimi sitaki hiki chama cha mashehe na wavaa kanzu na balagashia na mgombea wao MALEOPARD(MACHUI) ashinde, lakini nimesikitika sana leo nikiwa ndani ya Basi nilipopita Igunga mjini. Kila kona imesheheni bendera za CUF, Benson Kigaila na wenzio ikiwa mnafanya mchezo huko na jimbo likaenda msikitini au mashehe wakawapita mtatafutia pa kujichimbia, hatutaki ujinga kabisa.

Nilikuja kampeni za busanda na mliwazidi CUF kwa kila kitu, kwa nini Igunga mjini yamejaa mabendera ya CUF na za CHADEMA ni za kuokoteza vijiwe viwili vitatu?
Yule Mtatiro bogus anawashinda nini hapo?
My take; KAMA MMESHINDWA KAZI KAMANDA ONDOKENI WAJE MAKAMANDA WENGINE!
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeees! HATUTAKI JIMBO LIENDE MSIKITINI.

Duh! wewe unatafuta balaa! Haya ngoja watu wenye "ilmu" wakusome!
 
"
Nimeipenda hata Rais alikuwa kivutio kikubwa kwa wanawake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!![/QUOTE]

Na leo hii wanawake ndio wanaoongoza kwa kutaabika sio mjini hata huko vijijini. Nadhani sasa wamejifunza kuwa sura siyo inayoongoza vizuri ila dhamira na uwezo wa ubongo.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hii crap imetoka wapi tena?eti nae anajifanya mwana cdm,hakuna upuuzi kama huo,we knw what u'r trying to say,igunga hakuna hzo bendera za cuf..hz ndio siasa za maji taka,mdini mkubwa wewe.

Nakubaliana na wewe huyu anajifanya m-chadema kumbe hana lolote anataka kufanya watu waamini kuwa chadema ni chama cha wakristu. By the way, mh! Priest nimelipenda hilo shavu! Hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom