MVUA GAMBA
Senior Member
- Apr 13, 2011
- 102
- 63
Wana Jf Taarifa zilizonifikia sasahivi Vyama vya CCM na CDM vimemaliza zoezi la Upigaji kura za Maoni ktk jimbo la Igunga.
Matokeo na watu walioshinda kura za Maoni ni Mratibu wa Elimu wilaya ya Igunga Mwl Joseph Kashindye ameongoza ktk kura ndani ya Chadema.
Upande wa Chama cha mapinduzi ameshinda Dk Kafumo ambae ni kamishna wa Madini katika wizara ya Nishati na Madini.
Matarajio ni kuwa CCM watamsimamisha DK kafumo na CDM watamsimamisha Mwlimu Kashindye.
Naomba kuwasilisha.
Matokeo na watu walioshinda kura za Maoni ni Mratibu wa Elimu wilaya ya Igunga Mwl Joseph Kashindye ameongoza ktk kura ndani ya Chadema.
Upande wa Chama cha mapinduzi ameshinda Dk Kafumo ambae ni kamishna wa Madini katika wizara ya Nishati na Madini.
Matarajio ni kuwa CCM watamsimamisha DK kafumo na CDM watamsimamisha Mwlimu Kashindye.
Naomba kuwasilisha.