escober
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 391
- 98
We Ch***z ina mana waislam hawatakiwi kuongoza nchi hii, futa kauli yako kama unataka mabadiliko ni lazima upate trust ya dini zote. NO WONDER WATU WANAAMINI CDM NI YA KANISA. futa pumba zako.
kwa nini unatumia mawazo ya mpuuzi mmmoja na tena siyo kiongozi wa chama unatoa conclusion ya kuwa CDm ni chama cha kanisa.
i dont see any difference between u and her.