Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
leo nimecheka sana nilipoenda udsm nikakuta matokeo ya form four ya kibonde wa clouds yamebandikwa kila mahali. pamoja na ku resit alipata d mbili tu. walikerwa na kauli zake wakabandika matokeo yake ili kuonyesha alivyo kibonde
Yawezekana nikawa nyuma ya wakati au wenzangu mkawa mmeniacha pengine kutokana na mazingira niliyokuwemo sikuwa na mawasiliano...... Huyu kibonde amefanya nini hadi yote haya yamkute na wewe ucheke sana!!!!!!!!
Nawasilisha.