leo nimecheka sana nilipoenda udsm nikakuta matokeo ya form four ya kibonde wa clouds yamebandikwa kila mahali. pamoja na ku resit alipata d mbili tu. walikerwa na kauli zake wakabandika matokeo yake ili kuonyesha alivyo kibonde
leo nimecheka sana nilipoenda udsm nikakuta matokeo ya form four ya kibonde wa clouds yamebandikwa kila mahali. pamoja na ku resit alipata d mbili tu. walikerwa na kauli zake wakabandika matokeo yake ili kuonyesha alivyo kibonde
Yaleteni basi hayo matokeo humu ndani!! Hilo litakuwa fundisho na kwa wengine![/QUOT
Wadau naomba mwana jf aliyeoko UDSM ambandue kopy moja atuwekee hapa halafu airudishe alipo itoa ili tuone ukibonde wake kwenye masomo! Ashukuru Mungu kamjalia sauti na domo lenye uweazo wa kuidanya nyeusi kuwa njano!
Hivi matokeo mabaya Form 4,6 au chuo yanaweza kuonesha uhalisia wa uwezo mdogo wa kufikiri kwa mtu.
Je walioshinda vizuri katika mitihani ndiyo wenye uelewa mkubwa kuliko walioshindwa?.
JE matokeo ya mtihani na mafanikio maishani au ufanisi kazini vinaendana.
Mb
Matokeo yote ya KIBONDE
Umbeya D
Ushankupe D
B/Math F
Civics F
Kiswahili F
English F
History F
Geography F
Biology F
Physics F
Kibondeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, jina jenyewe kibonde maana yake ni `mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiri` refer kamusi
WATANGAZAJI WOTE KAMA WALIVYO MAPOLISI NA WAALIMU, NI FALURES WA FORM FOUR NA SIX. Then wanakimbilia hii fani ndo mana inapoteza mwelekeo. Wachache sana wamejiendeleza na kukimbilia ughaibuni kama Charles Hilary, Majura majura, Flora Nducha, Sunday Shumari nk.... manake radio na TV za bongo zote vimeo na wajinga. Ukiwa mkali kitaaluma hauwezi kukaa sana.
Yupo wapi Tido wa TBC?? very sad kwa taaluma hii kuvamiwa na vimeo na masharouharo kama Kibonde.
wabongo bwana kutofanya vizuri academics sio kwamba hana kitu kichwani. Mfumo wetu wa elimu uko one sided ndio maana wanashindwa wengi.
kuna watu wana vipaji tofuti vimeshindwa k kuibuliwa sababu ya kasumba ya physics , hesabu na history.
Life is not about all about academics.
Kuna watu wanaishi kwa kupiga kasia tu ulaya hata ukimuuliza archemedes principle hajui.
Hapo jirani kenya kuna wakimbiaji ukisikia wanhojiwa kingereza unajua kuwa hata hicho wanachoongea wamejifunza juzi juzi.
Inawezekana kweli kibonde hakufanya vizuri but tusisababishe tufanye kila mtu atake kwenda chuo kikuu ndio ajisikie kuwa ni mtanzania .
Nchi haiwezi kuendeshwa na wavaa tai tu na mainjinia. Tuache kuweka siasa na unafiki
Mkosoeni kibonde kwa hoja zake