NakuliliaTanzania
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 555
- 7
Hivi Mitihani ya sekondari ni swala la Muungano? Nilidhani elimu ya Juu tu ndo swala la Muungano! Inakuwaje matokeo pia yana shule za Visiwani na Bara?
Naomba mwanga zaidi
Mzalendo, mi binafsi sina hakika ni mambo gani ya Muungano na si yapi ya mmungano..ni mchanyato maalum ambao nahisi wanauelewa wachache sana...labda ndo maana pia hata haya mazungumzo ya CUF na CCM kuhusu 'kero' za Muungano hayaelekei kufikia mwisho!