Nilikuwa na wasi wasi na hawa watu wa Songea hasa mjini kwa Nchimbi.
Jamani ngoma bado sana..........NGONDO YAKONA......tusubiri matokeo kutoka maeneo ya kando kando...........siku zote CCM wamekuwa hawafanyi vizuri hizo sehemu zilizokwisha tajwa...............however kwa taarifa nilizopewa mabadiliko ni very possible................