wenye akili ni udsm ndio maana cut off point 5.0
matokeo ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya afya tayari yametoka leo mchana kwa maelezo zaidi tembelea website yao ujionee.
naomb unisaidie
Ni kwel jaman mbona mim nilijarbu ikawa sjafanikiwa? Pliz kama vp naomba unichekie. Nime2mia jna la kassim hamza mussa