Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Kisa nini?
wanajaribu kuwatawanya wafuasi ambao wanaendelea kushangilia ushindi, kuna gari moja imepigwa mawe nadhani ni ya serikali
Kisa nini?
Bila shaka hapo ni kijijini kwao Siyoi..
msome huyu naye
hivi hao wazee na akina mama hawapo bukombe, ukerewe, hai, na kigoma? Vipi huko kote hakuna vijiji?
watu tunaongelea arumeru we unaleta sijui nini, mi ningekua mod mimi!Vijibweni final results-CCM 1198; CHADEMA 799; CUF 776
Huyooooooooooooooooo kata zaidi ya 200 CDM imechukua haaaaaa
kura nazo zimeongezeka hadi 11,485Mbona wakati kata ziko 75 ..CDM walikuwa wana kura alfu tisa na ...vituo vimeongezeka kura zimepungua..ndio maruhani yenyewe au....?
Maeneo ya mijini watu wameamka na kuisupport Chadema. Subirini matokeo ya vijijini!.Mkuu,
Mimi ni mwanachama wa CDM,Kiukweli matokeo hadi sasa yanatia moyo.Lakini ukweli ni kwamba CCM ina uwezo mkubwa kutetea jimbo hili.Watashinda kwa kura za vijijini.
kwani tume ya uchaguzi ndo inayopiga kura?chadema endeleni kujipa moyo. Subirini matokeo ya tume ya uchaguzi.
CDM walikuwa na 9000 sasa wana 6000kura nazo zimeongezeka hadi 11,485
Maeneo ya mijini watu wameamka na kuisupport Chadema. Subirini matokeo ya vijijini!.
Ukiona hivyo jua ndo wanajiandaa na kuweka waah!Habari zisizo rasmi ITV wamekatazwa kutangaza matokeo ya Arumeru! BaMwanaasha