Nedd Ludd
Senior Member
- May 16, 2023
- 135
- 245
Shule ya Msingi Ngingama, yenye wanafunzi zaidi ya 400 iliyoko wilayani Nyasa, mkoani Ruvuma ina walimu wawili wa kuajiriwa na mmoja wa kujitolea, hivyo wanafunzi wanatumia muda mwingi kucheza badala ya kusoma.
Kutokana na changamoto hiyo, wazazi, wanafunzi na walimu wameomba walimu waongezwe katika shule hiyo.
Chanzo: ITV 22/01/2024
Hii kata bila kupinga imetengwa sana kwani hata Mbunge mwenyewe huwa hatembelei hii kata, utasikia kafika anaishia maeneo ya kimkakati zaidi, ila hili jambo si sawa hata kama hii kata ya LINGA ina idadi ndogo zaidi ya watu katika jimbo la Nyasa basi isitegwe kiivyo.
Eng. Stela Martin Manyaya.
Kutokana na changamoto hiyo, wazazi, wanafunzi na walimu wameomba walimu waongezwe katika shule hiyo.
Chanzo: ITV 22/01/2024
Hii kata bila kupinga imetengwa sana kwani hata Mbunge mwenyewe huwa hatembelei hii kata, utasikia kafika anaishia maeneo ya kimkakati zaidi, ila hili jambo si sawa hata kama hii kata ya LINGA ina idadi ndogo zaidi ya watu katika jimbo la Nyasa basi isitegwe kiivyo.
Eng. Stela Martin Manyaya.