Enny
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 962
- 130
Huduma za "zein one network " ni mbovu sana. Mimi nipo drc (congo) wiki ya pili sasa nashindwa kuingiza vocha kwenye simu. Nimejaribu kuwasiliana na watanzania wengine waliopo hapa wenye laini za tanzania pia wana matatizo hayohayo.
Mwezi wa december 09 nilikuja dar na laini ya drc nilijaribu kuweka kwenye simu yangu kulikuwa hamna network kabisa.
Naomba kama kuna wahusika waweze kuliangalia hili tatizo.
Mwezi wa december 09 nilikuja dar na laini ya drc nilijaribu kuweka kwenye simu yangu kulikuwa hamna network kabisa.
Naomba kama kuna wahusika waweze kuliangalia hili tatizo.