matapeli wa mapenzi tanzania

kweli binadamu tunatofautiana, yaani hivi hivi namuhanga mwanaume gari?
nampa pesa ya matumizi?
uwiiiiiiiiiiii labda nampangia nyuma? ahahahahahahahahah

mambo ya kujifanya nimependa sana sitaki mie........ na nilivyo mbahili hao vijana hawatonipata ng'oooo loh.......

Mbona midume inawajengeeni hadi nyumba nyie wadada?
 
Mwanamke akisha penda unadhani gazeti ulilo andika hapa litakusaidia wewe na wanawake wengine msihonge wanaume.
 
Wadada msitukane mamba kabla hamjavuka mto, inawezekana hata wadada wenzenu ambao sasa ni wahongaji kwa kujua ama kutokujua walikua wanawashangaa mashosti wenzao hapo kabla kuwa inakuwaje hadi unamhonga mwanaume abcdefgh....?
 
Hyo sio tabia nzuri kweli, bt the gud thng ni kumchunguza mwenza waka ka anamapenzi ya kweli na anakufaa 4 future
 
Wala hujakosea mamito japo hata kwa wadada wapo wanowatapeli sana wanaume na kuwaachia vilio,
Ni aibu kwa mwanamke km mm kulea puplis labda wasichana ndio wanafanya huo upuuzi,
Namshukuru mungu hakunipa mapnz hayo ya kuohonga mwanaume,especial hivi vivulana vitumiaji!!!
Na kamwe haitatokea maishan labda kwa atakaekuwa mme wangu,huyo hata mshahara nitampa anipangie matumizi lol!
 
Mbona mi namtafuta wa kunilea simpati? nalea mimi tu kila siku nimeshachoka. Natafuta mdada na mimi anihonge. lol
 
tena hawa watu wa kupenda kuhudumiwa wamekuwa wengi smile mmh.
huruma bure kwa hao ambao wako busy wanahudumia wanaume.
me namshukuru mungu kwa kunipa roho ya kupenda kuchuna aisee maana kaniepusha na tabia ya kulea lea mtu. siwezzz kbs kuishi na hao wa2.
 
sipo unavodhani mkuu na ningekuwa hvo nisingekuwa hapa nilipo nisingekuwa naamka saa kumi usiku.am living my life on my own

Smile, sikuwa na maana kuwa hufanyi kazi au unategemea kufadhiliwa. Hoja yangu i kuwa naamini kuwa kwako wewe mwanamke kugharamiwa na mwanaume ni sawa na kinyume chake si sawa.
 
Wala hujakosea mamito japo hata kwa wadada wapo wanowatapeli sana wanaume na kuwaachia vilio,
Ni aibu kwa mwanamke km mm kulea puplis labda wasichana ndio wanafanya huo upuuzi,
Namshukuru mungu hakunipa mapnz hayo ya kuohonga mwanaume,especial hivi vivulana vitumiaji!!!
Na kamwe haitatokea maishan labda kwa atakaekuwa mme wangu,huyo hata mshahara nitampa anipangie matumizi lol!
ahahaaa shosti umewaitaje tena? wanatufanya board ya mikopo bwana?
 
Smile, sikuwa na maana kuwa hufanyi kazi au unategemea kufadhiliwa. Hoja yangu i kuwa naamini kuwa kwako wewe mwanamke kugharamiwa na mwanaume ni sawa na kinyume chake si sawa.
si hvo mkuu maisha ni ushirikiano kama mmoja anakuwa tu kupe pia hajiheshimu hapo ndo inakuwa shida.
 
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Hii tamu wacha watu waleane bibie
 
Haha, kwa kifupi watu wa kaskazini wanajishughulisha eh?! Saaafi..

By the way, mkuki kwa nguruwe. Sitaki kusema ni mara ngapi lakini jinsia KE ndio inaongoza kwa kuwatumia ME ili kutimiza matakwa yao. Iwe chuoni, makazini au mtaani! Wote tuna matatizo (ME + KE)

kweli pande zote zinamatatizo lakini KE wamezidi kutumia ME kama daraja kufikia malengo yao kuliko ME wanavyofanya.
 
ahahaaa shosti umewaitaje tena? wanatufanya board ya mikopo bwana?
Hao kwangu ni pupils tu kwan still wanataka kuwekwa under supervision ya mwanamke!
Unafikiri huko kulelewa wanakotaka si ni sawa na mwanafunzi wa shule ya msingi kwa wazazi wake tu!
 
Matching is very important these days!! Ukitaka kuyaona maisha hayana maana pata mtu msiyeendana! you can force everything, mwisho wa siku utakubali ukweli. Be careful bandugu, siyo kwa wanaume hata kwa wanawake. Tatizo watu wanakuwa wanashindwa kuelewa short term relationship na long term relationship, utakuta watu wametamaniana tu!! wakija kukaa muda wanaona oops this is not what I want. Lazima tukubali kubadilika, if you want a long term relationship, take more time to explore your self and your partner na kubali mapungufu yake, nayeye akubali yako then fanyeni kweli.
 
Matching is very important these days!! Ukitaka kuyaona maisha hayana maana pata mtu msiyeendana! you can force everything, mwisho wa siku utakubali ukweli. Be careful bandugu, siyo kwa wanaume hata kwa wanawake. Tatizo watu wanakuwa wanashindwa kuelewa short term relationship na long term relationship, utakuta watu wametamaniana tu!! wakija kukaa muda wanaona oops this is not what I want. Lazima tukubali kubadilika, if you want a long term relationship, take more time to explore your self and your partner na kubali mapungufu yake, nayeye akubali yako then fanyeni kweli.
kweli mkuu real for life
 
Hao kwangu ni pupils tu kwan still wanataka kuwekwa under supervision ya mwanamke!
Unafikiri huko kulelewa wanakotaka si ni sawa na mwanafunzi wa shule ya msingi kwa wazazi wake tu!
na sisi wadada kwanini tunalazimisha mapenzi jamani? kwani ni lazima?
 
Back
Top Bottom