instagramboy
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 1,521
- 343
Nijikweze nini sasa, hutaki kuamini au hupendi kuona kuwa mimi ni Alumnus wa Mzumbe halafu naikandya Alma mater yangu? Nitabaki kuwa Alumnus wa Mzumbe lakini nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
Usome Mzumbe.. Utambe.. Tehhhhh
Mzumbe hatutoi vilaza kama ww