Masters degrees za Mzumbe University zinaua ubora wa elimu

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,358
6,422
Nawaomba uongozi wa Mzumbe University mfikirie upya hizi degree za masters mnazozitoa huko mitaani/Centres za mikoani. Mnaua ubora wa elimu nchini. Si jambo jema academically, mtu wa Advanced diploma kusoma masters bila basic degree! Nimeona products wenu wana mapungufu mengi! unawaona kabisa kuwa kuna vacuum upstairs with regard to professionalism worth of Masters degree level. Re-think your programme.

Sasa mmebatizwa kwa kuitwa "MAHARAGE YA MBEYA" kuwa yanaiva haraka/mapema! Nipigeni madongo, lakini ngoja niliseme
 
Nawaomba uongozi wa Mzumbe University mfikirie upya hizi degree za masters mnazozitoa huko mitaani/Centres za mikoani. Mnaua ubora wa elimu nchini. Si jambo jema academically, mtu wa Advanced diploma kusoma masters bila basic degree! Nimeona products wenu wana mapungufu mengi! unawaona kabisa kuwa kuna vacuum upstairs with regard to professionalism worth of Masters degree level. Re-think your programme.

Sasa mmebatizwa kwa kuitwa "MAHARAGE YA MBEYA" kuwa yanaiva haraka/mapema! Nipigeni madongo, lakini ngoja niliseme

Ni kweli mkuu, Master bila degree ya kwanza ni ulipuaji wa elimu kabisa. Mtu atoke diploma kisha aende Master bila degree ya kwanza ni ubabaishaji mkubwa
 
Ni kweli mkuu, Master bila degree ya kwanza ni ulipuaji wa elimu kabisa. Mtu atoke diploma kisha aende Master bila degree ya kwanza ni ubabaishaji mkubwa

Unachokisema ni sahihi kabisa mkuu, lakini kwa uelewa wangu kila chuo vikiwemo vyuo vinavyoheshimika kwa mfano University of London, University of Liverpool na vinginevyo huwa pia vina pokea wanafunzi wa Masters kwa kuzingatia sifa za uzoefu wa kazi na sifa zingine kwa wale wasio na first degree, japo wanakua wa wazi kwamba hiyo ni case by case sio kwa kila mtu.

Kwa hiyo hilo la kupokelewa Masters bila Degree ya kwanza sio kosa na wala sio geni na Mzumbe sio wa kwanza kufanya hivyo japo sijui wanatumia utaratibu gani kujiridhisha na watu wa aina hiyo.
 
hivi bill gates akienda chuo chochote duniani wanamuweka darasa gani.. certificate, degree, masters, phd au?

experience ina value sana kuliko elimi ya makaratasi..

wazungu wanasema experience ni best teacher

Na kuna vyuo vingine hawakupokei kwa Masters kama hauna experience ya kazi japo mwaka mmoja au miwili hata kama una first degree.
 
hivi bill gates akienda chuo chochote duniani wanamuweka darasa gani.. certificate, degree, masters, phd au?

experience ina value sana kuliko elimi ya makaratasi..

wazungu wanasema experience ni best teacher

But how do you impartially assess this experience? And while you are attempting responding to me think about this "uchakachuaring" tendency that (am sure you'll agree) is prevalent in our country! Ila Nakubaliana nawe ndugu yangu kuwa experience is very important kuliko vyeti, lakini pia nawapinga wanaotetea vyeti kwa kisingizio cha kuwepo measuring standard kwa kuwa vyeti vinanunulika.
 
Mimi sijasoma mzumbe lakini sioni mantiki ya suala hili. Mbona hujaanza na mfumo mzima wa elimu kuanzia mitaala ya shule za msingi uliopiteza uelekeo? Ni chuo kipi unadhani kinatoa product nzuri kipindi hiki, UDSM? No way, graduates mpaka wa PhD wengine ni very short sighted na hawana jipya. Ndio sababu wanakimbilia politics tu. Hili ni janga kila sehemu sio mzumbe tu. Kidoogo quality bado ipo SUA.
 
hivi bill gates akienda chuo chochote duniani wanamuweka darasa gani.. certificate, degree, masters, phd au?

experience ina value sana kuliko elimi ya makaratasi..

wazungu wanasema experience ni best teacher

kwani Bill Gate anaebdesha mwenyewe biashara zake au anatumia watu mbalimbali wenye professional tofautitofauti?
 
Nawaomba uongozi wa Mzumbe University mfikirie upya hizi degree za masters mnazozitoa huko mitaani/Centres za mikoani. Mnaua ubora wa elimu nchini. Si jambo jema academically, mtu wa Advanced diploma kusoma masters bila basic degree! Nimeona products wenu wana mapungufu mengi! unawaona kabisa kuwa kuna vacuum upstairs with regard to professionalism worth of Masters degree level. Re-think your programme.

Sasa mmebatizwa kwa kuitwa "MAHARAGE YA MBEYA" kuwa yanaiva haraka/mapema! Nipigeni madongo, lakini ngoja niliseme

Wabongo bhana!Kwani we unafikiri ni Mzumbe peke yake? Hujui kua adv dip ni equivalent to degree? Japo baadhi ya vyuo wanakutaka uwe na post graduate tu ndo ukapige masters.Kosa liko wapi kwa mwenye adv kusoma masters? Mfano kwenye accounting kusoma adv dip na degree hakuna tofaut, tofaut ni jina tu.Ila koz kama medicine tofaut ni kubwa.
 
Nawaomba uongozi wa Mzumbe University mfikirie upya hizi degree za masters mnazozitoa huko mitaani/Centres za mikoani. Mnaua ubora wa elimu nchini. Si jambo jema academically, mtu wa Advanced diploma kusoma masters bila basic degree! Nimeona products wenu wana mapungufu mengi! unawaona kabisa kuwa kuna vacuum upstairs with regard to professionalism worth of Masters degree level. Re-think your programme.

Sasa mmebatizwa kwa kuitwa "MAHARAGE YA MBEYA" kuwa yanaiva haraka/mapema! Nipigeni madongo, lakini ngoja niliseme
Tatizo lako umekariri kwamba unapaswa uwe na degree ya kwanza,kisha uzamivu,kisha uzamili.UDSM(ambayo naamini kwa akili yako ndo unapaabudu)unaweza kupata PhD bila kuwa na Masters.Kama bado umejaza kamasi kichwani tafuta cv ya Dr Slaa utapata ahueni maana hana hicho kinachoitwa degree ya kwanza au ya pili.Acha kukariri!
 
Kwa hiyo mtoa mada tatizo lako ni advance diploma kusoma masters, mi nafikiri unalalamikia contents and quality ya masters za Mu, kama advance dip hawako vizuri si wangefeli kwenye masters.
 
kwani Bill Gate anaebdesha mwenyewe biashara zake au anatumia watu mbalimbali wenye professional tofautitofauti?

unafikiri kugundua tu biashara anayofanya ni product za big result now zinaweza.. watanzania kuendesha familia zao tu wanashindwa wataweza kuiendesha microsoft isianguke..

according to forbes.com kuongoza multinational company like toyota, sony, samsung, microsoft ni kazi kubwa kuliko kuongoza nchi za dunia ya kwanza... sasa sisi dunia ya tatu na bado kuongoza familia tu za watu watano zinatushinda..

mfumo wa elimu tz wote mbovu kuanzia primary.. hakuna chuo chenye uwezo wa kutoa graduate mwenye upeo. zaidi ya wajaza vyeti na kutafuta kuajiriwa tu
 
Bachelor degree sio kigezo,kuna watu nawafahamu A-level walikuwa na div 1 ya pt tano na kuendelea walisoma IFM na wengine wako sehemu muhimu kama EY PWC na BoT na Govt Kama MoF wanapiga hela tu sa we umemeza kuwa ili ufanikiwe lazima usome UD hiyo ndo inawafanya mtembee na bahasha sana na kuilaumu serikali,kijana amka fungua macho uangalie fursa nini Mzumbe kuchukua adv. Diploma kuna vyuo Uk vinachukua ukitaka ntakutajia.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
...........Bishaneni mkimaliza kila mtu ukweli atabakia nao ndani ya nafsi yake. Kwa mtu anayesoma Mzumbe ukieleza hiki kitu hawezi kukuelewa hata kiduchu.

Naweza kuamini kuwa Mzumbe katika ngazi zote wapo hivyo hivyo sababu viongozi/Wanasiasa karibia wengi wanaoonekana vilaza na wenye Masters na Ma- PhD utasikia kapatia Mzumbe (mfano Nape). Hata huku makazini ukifuatilia products za Mzumbe muda mwingine unafikiria mara mbili mbili kuhusiana na uwezo wa mhusika kama kweli alipita pita skuli au anazingua.

Kwa upande mwingine pia lawama ziende kwa serikali kama ni kweli kuna ubabaishaji katika utoaji wa elimu katika vyuo vya Mzumbe, hao walitakiwa kugundua hiyo kitu mapema.

Yote juu ya yote, elimu sio mrundikano wa vyeti visivyoendana na utendaji wako kikazi bali jinsi unavyoitumia ile elimu uliyoipata kukabiliana na maisha na kusaidia jamii au nchi yako kuondokana na changamoto za maisha.

..........Ni mtazamo tu!!
 
Labda mimi sielewi, nina mdogo wangu mmoja kamaliza degree ya uhasibu pale ifm ila hakuweza kupata uppersecond (alikuwa na lower seond) kanyimwa kufanya masters Mzumbe, ina maana kaonewa ama wamefuata taratibu? Iweje advn diploma apate nafas ya kufanya masters km haqualify? Acha wivu wa kitoto utaishia kusema wenzio wanapata kazi sehemu nyeti serikalini ww unahangaika kufanya kazi za ajabuajabu, soma course itakayokusaidia na pata matokeo mazuri utafurahia maisha!
 
Nawaomba uongozi wa Mzumbe University mfikirie upya hizi degree za masters mnazozitoa huko mitaani/Centres za mikoani. Mnaua ubora wa elimu nchini. Si jambo jema academically, mtu wa Advanced diploma kusoma masters bila basic degree! Nimeona products wenu wana mapungufu mengi! unawaona kabisa kuwa kuna vacuum upstairs with regard to professionalism worth of Masters degree level. Re-think your programme.

Sasa mmebatizwa kwa kuitwa "MAHARAGE YA MBEYA" kuwa yanaiva haraka/mapema! Nipigeni madongo, lakini ngoja niliseme

www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu...naona-aibu-kusema-nina-masters-ya-mzumbe.html

Mkuu embu pitia huo uzi!!!
Cc joshua_ok bdo leonk na wengineo..
 
Last edited by a moderator:
Nawaomba uongozi wa Mzumbe University mfikirie upya hizi degree za masters mnazozitoa huko mitaani/Centres za mikoani. Mnaua ubora wa elimu nchini. Si jambo jema academically, mtu wa Advanced diploma kusoma masters bila basic degree! Nimeona products wenu wana mapungufu mengi! unawaona kabisa kuwa kuna vacuum upstairs with regard to professionalism worth of Masters degree level. Re-think your programme.

Sasa mmebatizwa kwa kuitwa "MAHARAGE YA MBEYA" kuwa yanaiva haraka/mapema! Nipigeni madongo, lakini ngoja niliseme[/QUOTE
Nahisi ww utakua na matatizo ya kutokuelewa nn maana ya advanced diploma afu ukaamua kuichafua mzumbe kwa kipitia mabunju wenzako,kwa taarifa yako sio masters tu,mtu anatoka kusoma advanced diploma ya accounts anaenda kusoma intermediate &final module za CAP sawasawa na mtu aliesoma bachelor ya accounts,hv kati ya Cpa na masters kipi babkubwa!Basi tufanye Mpk chuo cha Esami kitakua ni chuo cha kijinga kwa kupokea watu wa advanced diploma kusoma masters ulivo bunju possibly hukijui hata hicho chuo!!
 
Nawaomba uongozi wa Mzumbe University mfikirie upya hizi degree za masters mnazozitoa huko mitaani/Centres za mikoani. Mnaua ubora wa elimu nchini. Si jambo jema academically, mtu wa Advanced diploma kusoma masters bila basic degree! Nimeona products wenu wana mapungufu mengi! unawaona kabisa kuwa kuna vacuum upstairs with regard to professionalism worth of Masters degree level. Re-think your programme.

Sasa mmebatizwa kwa kuitwa "MAHARAGE YA MBEYA" kuwa yanaiva haraka/mapema! Nipigeni madongo, lakini ngoja niliseme

Possibly hujui hata CAG wako alisoma advanced diploma mzumbe!
 
Possibly hujui hata CAG wako alisoma advanced diploma mzumbe!

Ni sawa, lakini ni huko nyuma sio leo na vijana hawa. Prof Mmari (walking encyclopedia) alikuwa mwalimu wa primary, lakini kwa intelectual capacity aliyokuwa nayo akaitwa "walking encyclopedia". Ni huko zamani elimu ilipokuwa bora si leo!
 
Nawaomba uongozi wa Mzumbe University mfikirie upya hizi degree za masters mnazozitoa huko mitaani/Centres za mikoani. Mnaua ubora wa elimu nchini. Si jambo jema academically, mtu wa Advanced diploma kusoma masters bila basic degree! Nimeona products wenu wana mapungufu mengi! unawaona kabisa kuwa kuna vacuum upstairs with regard to professionalism worth of Masters degree level. Re-think your programme.

Sasa mmebatizwa kwa kuitwa "MAHARAGE YA MBEYA" kuwa yanaiva haraka/mapema! Nipigeni madongo, lakini ngoja niliseme[/QUOTE
Nahisi ww utakua na matatizo ya kutokuelewa nn maana ya advanced diploma afu ukaamua kuichafua mzumbe kwa kipitia mabunju wenzako,kwa taarifa yako sio masters tu,mtu anatoka kusoma advanced diploma ya accounts anaenda kusoma intermediate &final module za CAP sawasawa na mtu aliesoma bachelor ya accounts,hv kati ya Cpa na masters kipi babkubwa!Basi tufanye Mpk chuo cha Esami kitakua ni chuo cha kijinga kwa kupokea watu wa advanced diploma kusoma masters ulivo bunju possibly hukijui hata hicho chuo!!

Tuwe na discussion ya kuelimishana. Usitukane. Nimetoa ninachokiona ofisini. Sijui Bunju ni nini lakini unajaribu kutukana (Mimi nimemaliza basic degree 1980 UDSM, sijisifu ila naona mapungufu). Mimi naona graduates wa hizo masters wanatia mashaka sana. Tunao maofisini can not even make a good english sentence, hao wa advanced diploma! Kuna ambao wana Basic degree, unaona kuna tofauti kubwa, they are doing good.
 
Back
Top Bottom