MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Mkuu Munambefu . The sequence normally is degree ya kwanza (bachelor),kisha uzamili (Masters) ,kisha uzamivu (PhD). ur welcomeTatizo lako umekariri kwamba unapaswa uwe na degree ya kwanza,kisha uzamivu,kisha uzamili.UDSM(ambayo naamini kwa akili yako ndo unapaabudu)unaweza kupata PhD bila kuwa na Masters.Kama bado umejaza kamasi kichwani tafuta cv ya Dr Slaa utapata ahueni maana hana hicho kinachoitwa degree ya kwanza au ya pili.Acha kukariri!
Last edited by a moderator: