Massage Saloon (Massage Parlour)

kikahe

JF-Expert Member
May 23, 2009
1,350
282
Hello JF members! Mimi ni mgeni hapa DAR nimetoka Arusha. Nataka kufanya massage naomba mnielekeze ni sehemu gani hizo saloon zinapatikana maana nimeskia tu kwa ujumla sinza na kinondoni. I reaaly need this, plz help
 
What is so special kikahe kufanyiwa hiyo massage? Well kama ukija Moshi nasikia Kindoroko Hotel Kuna hudumahiyo au ukienda shant Town just before International School kuna wachina wanafanya massage utaona kibao chao karibu na Panda chinese. Kwa dar mimi sijui huo mji siujui. May be other JF members will help you
 
What is so special kikahe kufanyiwa hiyo massage? Well kama ukija Moshi nasikia Kindoroko Hotel Kuna hudumahiyo au ukienda shant Town just before International School kuna wachina wanafanya massage utaona kibao chao karibu na Panda chinese. Kwa dar mimi sijui huo mji siujui. May be other JF members will help you


Sa Mr Kimori, why the hell umuulize swali kama hilo?

Kwani wewe hujui huduma kama hiyo ni kwaajili ya nini?

Au unawaogopa kunanihiiwa na hao wachina? Hawana

shida,... zile za KICHINACHINA hawazifanyi kwenye

shughuli hiyo... ni burudaaaani... relaxation ya hatari!

I think watu wa Dar mtamsaidia huyu jamaa!
 
ukija makumbusho huku karibu na kituo cha mabasi kuna saloon ya massage, victoria nyuma ya knight support kuna hudama hiyo pia.
 
Wana JF, hivi ni saloon ama salon? mara nyingi huwa nataka kuuliza, huu ndiyo muda muafaka.
 
, victoria nyuma ya knight support kuna hudama hiyo pia.


Nyumba zilizokuwa za BHESCO? Kiingilio je? Wahudumu Wachina au Wamakonde?
icon10.gif
 
Kaka wahudumu ni wamakonde lakina mambo yao ni ya kichini.I have been there and i dont regret to know this place....Bei ni 15,000/= za kitanzania kwa 45minutes..na cocacola baridi ya bure unapewa
 
Sa Mr Kimori, why the hell umuulize swali kama hilo?

Kwani wewe hujui huduma kama hiyo ni kwaajili ya nini?

Au unawaogopa kunanihiiwa na hao wachina? Hawana

shida,... zile za KICHINACHINA hawazifanyi kwenye

shughuli hiyo... ni burudaaaani... relaxation ya hatari!

I think watu wa Dar mtamsaidia huyu jamaa!
Huyo Kimori sijui kwanini kaniuliza hivyo.
Samamhani Mwalyambi30, Mimi kidogo ni mshamba ila baada ya kujadiliana na friends hapa wamenielimisha. nasikia ni raha sana and its a very good way of relaxing and releasing tension. I would also like to taste the thing soon.Wataalamu tuelekezeni exactly where the place is, hiyo BHESCO iko wapi? thanks and sorry for any inconvinience I may have caused
 
Last edited:
Kaka wahudumu ni wamakonde lakina mambo yao ni ya kichini.I have been there and i dont regret to know this place....Bei ni 15,000/= za kitanzania kwa 45minutes..na cocacola baridi ya bure unapewa


Mazee wanafanya nini zaidi naweza kuwa mteja siku moja!
 
Kaka wahudumu ni wamakonde lakina mambo yao ni ya kichini.I have been there and i dont regret to know this place....Bei ni 15,000/= za kitanzania kwa 45minutes..na cocacola baridi ya bure unapewa

Asante kunijulisha, siku nikimtembelea Omary Kimbau nitapitia kwao nipate raha ya kupelekwa dirishani unaambiwa tema, unatema kisha unarudishwa mahala palepale
 
Hello JF members. I am sorry. I did not mean to offend kikahe its a lack of exposure. I didnt if that things is that important. Nimepigwa shule na watu nimeelewa na hata mimi nitapenda kufanya hivyo kitu siku moja. SO kwa maelezo atakayopewa Kikahe nami nitaandika kwenye diary yangu ila nikja huko DAR nikaonje hiyo tam tam ya mikono ya wamakonde.
 
kigogo hiyo uliyofanyiwa kwa 15,000/= na coca baridi ni wapi? Please let me know. thanks
 
Bwana Kikahe jina sahihi ni massage parlour sio saloon wala salon,nitakutajia baadhi za bei nafuu manake kuna za mpaka laki.
1.Soft touch-Makumbusho kituoni 15,000/-chumba cha kawaida,25,000/-unawekewa sinema na kuoga(self contained),35,000/-unafanyiwa massage ndani ya jacuzzi.
2.Miriam-Victoria nyuma ya knight support 20,000/-
3.Revonia na Libra-TXmarket k'ndoni 15,000/-
4.Equal-manyanya k'ndoni 15,000/-
5.Magic-namanga 20,000/- ukitaka sauna baada ya massage unaongeza 5,000/-
6.Lisa-regent mkabala na Zantel utaona bango 20,000/-,sauna +5,000/-
7.Full dose-upanga karibu na Diamond 15,000/-
8.BMK-15,000/-
9.Lily-nyuma ya bestbite 20,000/-
Massage zote hizi ni za saa nzima na kuna 'hard' ya lotion au oil kuondoa maumivu,stress na tension,na 'soft' ya poda hii ni relaxation na sensual massage.Kwa maelezo kuhusu huduma za ziada tuma PM(kina fidel80,masanilo,yoyo hahaha!) sitaki kuharibu biashara za watu.
Kwa wale ambao pesa sio tatizo jaribuni kwa Mercy G-town centre karibu na hindu mandal 50,000/-.Massage zote hizi ni za wamatumbi wenzetu sijataja za wachina au mahoteli makubwa.
 
Last edited by a moderator:
Bwana Kikahe jina sahihi ni massage parlour sio saloon wala salon,nitakutajia baadhi za bei nafuu manake kuna za mpaka laki.
1.Soft touch-Makumbusho kituoni 15,000/-chumba cha kawaida,25,000/-unawekewa sinema na kuoga(self contained),35,000/-unafanyiwa massage ndani ya jacuzzi.
2.Miriam-Victoria nyuma ya knight support 20,000/-
3.Revonia na Libra-TXmarket k'ndoni 15,000/-
4.Equal-manyanya k'ndoni 15,000/-
5.Magic-namanga 20,000/- ukitaka sauna baada ya massage unaongeza 5,000/-
6.Lisa-regent mkabala na Zantel utaona bango 20,000/-,sauna +5,000/-
7.Full dose-upanga karibu na Diamond 15,000/-
8.BMK-15,000/-
9.Lily-nyuma ya bestbite 20,000/-
Massage zote hizi ni za saa nzima na kuna 'hard' ya lotion au oil kuondoa maumivu,stress na tention,na 'soft' ya poda hii ni relaxation na sensual massage.Kwa maelezo kuhusu huduma za ziada tuma PM(kina fidel80,masanilo,yoyo hahaha!) sitaki kuharibu biashara za watu.
Kwa wale ambao pesa sio tatizo jaribuni kwa Mercy G-town centre karibu na hindu mandal 50,000/-.Massage zote hizi ni za wamatumbi wenzetu sijataja za wachina au mahoteli makubwa.

Kwa Mercy G ndio mercy galabawa? hapo lazima niende kabla mshahara haujaisha i have a feeling it will be interesting and worthwhile na hiyo ya jacuzzi next month nitapita na nimekutumia PM mkuu naona u mzoefu wa mambo haya ya mujini.
 
Kwa Mercy G ndio mercy galabawa? hapo lazima niende kabla mshahara haujaisha i have a feeling it will be interesting and worthwhile na hiyo ya jacuzzi next month nitapita na nimekutumia PM mkuu naona u mzoefu wa mambo haya ya mujini.

Am glad i could be of help Mkuu,Shy alitutajia sehemu zote za kuwapata 'night sisters' nami nimeongeza sehemu za massage tungepata mwingine wa kutueleza kumbi zote za burudani wana JF wasingehangaika.
 
Am glad i could be of help Mkuu,Shy alitutajia sehemu zote za kuwapata 'night sisters' nami nimeongeza sehemu za massage tungepata mwingine wa kutueleza kumbi zote za burudani wana JF wasingehangaika.

Ilikuchukua muda gani kupita sehemu zote hizi mkuu Lagatege?
 
Back
Top Bottom