Chokochoko
JF-Expert Member
- Oct 15, 2011
- 438
- 183
- Thread starter
- #181
ok hayo mazingira ndio yapi?pamoja na kuomba je umetengeneza mazingira ya kumpata potential husb?? Unaweza kuwa unalalama lakini ww mwenyewe hujichanganyi, hu-jiweki kama kama mtu alie single...pia pengine uko too desperate mpaka unawakimbiza waowaji kwa kukuona 'garasha'. Kwa kifupi tengeneza mazingira rafiki na kile unachokitaka huku uki-maintain misimamo yako kuepuka kufanywa 'chips funga'. Pengine kuna watu wanakumezea mate wakuwowe ila mazingira ya wanazuia either hawapati nafasi ya kushusha verses n.k! Vilvile kuwa pro-active ikiwa kuna mtu unamuona potenetial unaweza kumuanza ww....they say life is all about choices, u can choose who u want to be!