Superleta
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 466
- 538
Naombeni mnisaidie nipate kazi ndugu zangu labda humu jukwaani nitapata msaada
Nimehitimu mwaka 2022 Degree ya maendeleo ya jamii
Nina diploma pia ya maendeleo ya jamii. Nina certificate pia ya maendeleo ya jamii
Nimehangaika sana suala la kazi hadi nimejikatia tamaa nimekua ni mtu wa kushinda geto tu na nimekua nikijikatia tamaa tu
Baada ya kumaliza form 4 wazazi wangu walichangachanga wakanipeleka chuo wakanisomesha kwa shida na dhiki sana hadi nikahitimu diploma. Nilipomaliza diploma tu nikakaa nyumbani kama mwaka nikihangaikia masuala ya kazi kama mwaka huku nikijishughulisha na shughuli ndogondogo ujasiriamali na ufugaji mambo hayakwenda nilivyotarajia nikaenda kujiendeleza kusoma degree
Degree nilipata mkopo ila asilimia 40 tu hapo safari yangu ya kuanza kujitegemea na kujibana ilianza zaidi, ilinibidi sasa nipambane niweze kujilipia ada kodi na kila kitu nimejipambania mwenyewe miaka 3 nasoma huku napiga mishe za hapa na pale mpaka nimehitimu shahada yangu ya maendeleo ya jamii.
Sikurudi nyumbani nikaona niendelee kukomaa tu na kitaa huku nikisaka ajira, na mishe za hapa na pale. Nimehangaika na mishezangu sasahivi mambo yangu yamekua magumu sana, mishe zimebuma, nimehangaika na suala la kazi mpaka nimechoka
Huko kwenye mashirika nimeenda sana nimeaply sana lakini wapiWenzangu kadhaa tulomaliza nao walishapata kazi kitamboo na sahivi wanaishi maisha yao mazuri tu mimi najiona kama mkosi tu na nisiye na faida nyumbani hawaelewi kabisa wanaona kama nawatania nikiwaambia sina kazi.
Sasahiv napitia msongo mkali sana wa mawazo umri unasogea sina mbele wala nyumanajuta kuzaliwa, najuta kuishi najiona sina thamani kabisa, nimekua ni mtu wa kujifungia ndani na kulia tu.
Sasa hivi nyumbani na ndugu jamaa maswali mengi kila mara utaulizwa kwamba hujapata kazi tu?Kwanini hadi sasa hujapata kazi?Baba yangu ni mzee yupo 70+ mama nae yupo 60+ nilitakiwa sahivi niwe nawasaidia sio umri wao wa kuanza kuhangaika kubangaiza roho inaniuma sana najiona sina maana tena kwao najiona kama siwatendei wazazi wangu.
Kweli kazi sikuhizi bila connection mtu hutoboi!! Ananijua nani mimi? Wenzangu mnaopata kazi mnafanyaje mbona kila kitu natimiza lakini sipati?Hali nayopitia sahv ni ngumu ni ngumu mno, naombeni yoyote anayejua hata shirika lolote nikajitolee tu nipo tayar kwa hapa Dar. Mimi nipate tu walau kazi ya kujitolea tu ilimradi niwe bize nishachoka kukaa mtaani.
Mimi nipo tayari hata mtu anitafutie kazi shirika au mahali popote nipo tayari hata mshahara wangu wa mwanzo achukue yeye tu kama malipo ya kunitafutia kazi.
Wenzangu wengi tulomaliza nao wana kazi muda wengine tokea diploma huko walipata kazi wana maisha mazuri kila kitu mimi sina chochote cha maana hapa duniani sazingine naona bora ningekufa tu siku nilizaliwa wapo hadi wanaonicheka wakiona nilikua najifanya napenda sana ndo maana nilijiendeleza zaidi kielimu
Nisaidieni ndugu zangu nipate kazi popote hata kujitolea nipo tayari
UPDATES:Nimeombwa niweke namba yangu hapa namba yangu ni 0624 088 380 ipo watssap pia
Nimehitimu mwaka 2022 Degree ya maendeleo ya jamii
Nina diploma pia ya maendeleo ya jamii. Nina certificate pia ya maendeleo ya jamii
Nimehangaika sana suala la kazi hadi nimejikatia tamaa nimekua ni mtu wa kushinda geto tu na nimekua nikijikatia tamaa tu
Baada ya kumaliza form 4 wazazi wangu walichangachanga wakanipeleka chuo wakanisomesha kwa shida na dhiki sana hadi nikahitimu diploma. Nilipomaliza diploma tu nikakaa nyumbani kama mwaka nikihangaikia masuala ya kazi kama mwaka huku nikijishughulisha na shughuli ndogondogo ujasiriamali na ufugaji mambo hayakwenda nilivyotarajia nikaenda kujiendeleza kusoma degree
Degree nilipata mkopo ila asilimia 40 tu hapo safari yangu ya kuanza kujitegemea na kujibana ilianza zaidi, ilinibidi sasa nipambane niweze kujilipia ada kodi na kila kitu nimejipambania mwenyewe miaka 3 nasoma huku napiga mishe za hapa na pale mpaka nimehitimu shahada yangu ya maendeleo ya jamii.
Sikurudi nyumbani nikaona niendelee kukomaa tu na kitaa huku nikisaka ajira, na mishe za hapa na pale. Nimehangaika na mishezangu sasahivi mambo yangu yamekua magumu sana, mishe zimebuma, nimehangaika na suala la kazi mpaka nimechoka
Huko kwenye mashirika nimeenda sana nimeaply sana lakini wapiWenzangu kadhaa tulomaliza nao walishapata kazi kitamboo na sahivi wanaishi maisha yao mazuri tu mimi najiona kama mkosi tu na nisiye na faida nyumbani hawaelewi kabisa wanaona kama nawatania nikiwaambia sina kazi.
Sasahiv napitia msongo mkali sana wa mawazo umri unasogea sina mbele wala nyumanajuta kuzaliwa, najuta kuishi najiona sina thamani kabisa, nimekua ni mtu wa kujifungia ndani na kulia tu.
Sasa hivi nyumbani na ndugu jamaa maswali mengi kila mara utaulizwa kwamba hujapata kazi tu?Kwanini hadi sasa hujapata kazi?Baba yangu ni mzee yupo 70+ mama nae yupo 60+ nilitakiwa sahivi niwe nawasaidia sio umri wao wa kuanza kuhangaika kubangaiza roho inaniuma sana najiona sina maana tena kwao najiona kama siwatendei wazazi wangu.
Kweli kazi sikuhizi bila connection mtu hutoboi!! Ananijua nani mimi? Wenzangu mnaopata kazi mnafanyaje mbona kila kitu natimiza lakini sipati?Hali nayopitia sahv ni ngumu ni ngumu mno, naombeni yoyote anayejua hata shirika lolote nikajitolee tu nipo tayar kwa hapa Dar. Mimi nipate tu walau kazi ya kujitolea tu ilimradi niwe bize nishachoka kukaa mtaani.
Mimi nipo tayari hata mtu anitafutie kazi shirika au mahali popote nipo tayari hata mshahara wangu wa mwanzo achukue yeye tu kama malipo ya kunitafutia kazi.
Wenzangu wengi tulomaliza nao wana kazi muda wengine tokea diploma huko walipata kazi wana maisha mazuri kila kitu mimi sina chochote cha maana hapa duniani sazingine naona bora ningekufa tu siku nilizaliwa wapo hadi wanaonicheka wakiona nilikua najifanya napenda sana ndo maana nilijiendeleza zaidi kielimu
Nisaidieni ndugu zangu nipate kazi popote hata kujitolea nipo tayari
UPDATES:Nimeombwa niweke namba yangu hapa namba yangu ni 0624 088 380 ipo watssap pia