The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,163
Lipo linauzika robo tu,robo tatu yake hurudishwa
Hivi gazeti la uhuru bado lipo kweli?
Hivi gazeti la uhuru bado lipo kweli?
Gazeti la Mwananchi ni objective kwa mambo mengi; tusilihukumu Gazeti kwa habari moja tu.
Mwe!! hapo namba 6 si ni gazeti la Rostam hilo chini ya usimamizi wa Bashe?Tendwa hakutaja chama kwa jina (Japokuwa aliilenga CHADEMA). Pili kwa habari hiyo bado haijahamisha imani yangu kwa Gazeti Mwananchi.
1.MwanaHalisi (Lipo Moyoni)
2.Tanzania Daima
3.Mwananchi
4.Raia Mwema
5.The Citizen
6.Mtanzania
Paragraph hii nimei copy kutoka kwenye gazeti la mwananchi:
Septemba 4, mwaka huu Tendwa alitishia kukifuta Chadema baada ya matukio ya vurugu katika mikutano yake ukiwamo ule uliofanyika Iringa na kusababisha kifo cha aliyekuwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Daud Mwangosi.
kama mwandishi angekuwa fair ingesomeka hivi:
Septemba 4, mwaka huu Tendwa alitishia kukifuta Chadema baada ya polisi kuifanyia vurugu CHADEMA bila sababu za msingi katika mikutano yake ukiwamo ule uliofanyika Iringa na (polisi) kumwua aliyekuwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Daud Mwangosi. Naomba tujadili-jazba weka pemebeni.
tendwa hakutaja chama wala eneo la virugu wewe ndio hukumsikia, usilazimishe watu waelewe unavyojisikia wewe
Machapisho yake ni kwa gharama za nani?..hii si kodi ya wananchi kweli?[/QUOTE]
Siyo kampuni ya serikali, MCL (Mwananchi Communication Ltd.) ni kampuni dada na kampuni inayotengeneza magazeti ya The Nation na Taifa Leo nchini Kenya.
Machapisho yake ni kwa gharama za nani?..hii si kodi ya wananchi kweli?
Mkuu lipo ila linaishia kusomwa hapa Lumumba na makada wa CCM waliochoka mbaya ambapo wanapewa bure!Hivi gazeti la uhuru bado lipo kweli?
Paragraph hii nimei copy kutoka kwenye gazeti la mwananchi:
Septemba 4, mwaka huu Tendwa alitishia kukifuta Chadema baada ya matukio ya vurugu katika mikutano yake ukiwamo ule uliofanyika Iringa na kusababisha kifo cha aliyekuwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Daud Mwangosi.
kama mwandishi angekuwa fair ingesomeka hivi:
Septemba 4, mwaka huu Tendwa alitishia kukifuta Chadema baada ya polisi kuifanyia vurugu CHADEMA bila sababu za msingi katika mikutano yake ukiwamo ule uliofanyika Iringa na (polisi) kumwua aliyekuwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Daud Mwangosi. Naomba tujadili-jazba weka pemebeni.
tendwa hakutaja chama wala eneo la virugu wewe ndio hukumsikia, usilazimishe watu waelewe unavyojisikia wewe
aya nenda lumumba kapokee buku 2.unapinga hata unayoyakubali kimoyomoyo.Mwananchi limepoteza mvuto.