Paragraph hii nimei copy kutoka kwenye gazeti la mwananchi:
Septemba 4, mwaka huu Tendwa alitishia kukifuta Chadema baada ya matukio ya vurugu katika mikutano yake ukiwamo ule uliofanyika Iringa na kusababisha kifo cha aliyekuwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Daud Mwangosi.
kama mwandishi angekuwa fair ingesomeka hivi:
Septemba 4, mwaka huu Tendwa alitishia kukifuta Chadema baada ya polisi kuifanyia vurugu CHADEMA bila sababu za msingi katika mikutano yake ukiwamo ule uliofanyika Iringa na (polisi) kumwua aliyekuwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Daud Mwangosi. Naomba tujadili-jazba weka pemebeni.
Septemba 4, mwaka huu Tendwa alitishia kukifuta Chadema baada ya matukio ya vurugu katika mikutano yake ukiwamo ule uliofanyika Iringa na kusababisha kifo cha aliyekuwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Daud Mwangosi.
kama mwandishi angekuwa fair ingesomeka hivi:
Septemba 4, mwaka huu Tendwa alitishia kukifuta Chadema baada ya polisi kuifanyia vurugu CHADEMA bila sababu za msingi katika mikutano yake ukiwamo ule uliofanyika Iringa na (polisi) kumwua aliyekuwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Daud Mwangosi. Naomba tujadili-jazba weka pemebeni.