Mwananchi tangu mhariri wake Mzee Makunga aliposhtakiwa kwa kesi ya uchochezi pamoja na Samsoni Mwigamba na Absalom Kibanda wamekosa ujasiri wa kuandika kwa uwazi habari ambazo sio nzuri kwa serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.